Cc haitendi haki.umeiona ile speaker ya el.(kingngngmblemlu).anamsemea in public el.eakati wagombea wengine hawana pa kusemea wakati huu.kisha anaingia kikaoni huku anajina la mtu kibindoni.ningekuwa ni mmoja wa wagombea ningemgomea asiingie.hafai kuwa hakimu mzuri humo.
jambo jema uweke na muda, pia umesema hauruhusiwi kingie na cm je ukiwa huna unaruhusiwa kuingia?Wakuu habari,
Ntakua nawaletea Update ya kile kinachojiri kwenye Vikao vya CCM vinavyoendelea Dodoma. Ntahakikisha kila kitu naweka hapa.
Karibuni sana.
====================
Updates;
1. Update;
Sasa mchakato unaanza rasmi, Wajumbe kamati ya Maadili wanaingia Ukumbini, CC itafuata, haijajulikana kama na NEC itafanyika leo, itategemea na muda utakao tumika na vikao viwili hivyo.
2.Update
Rais Kikwete ameingia Ukumbini muda huu
3. Update
Kikao cha Usalama na maadili kinaendelea. Hiki hata kikiisha hakina briefing. kama kawaida, Ulinzi umeimarishwa na state
4.Update
Wakuu Kuweka Updates sio lahisi kama mnavyodhani sababu ulinzi ni mkali na hakuna aliyeruhusiwa kuingia na simu. Kumbuka hii ni kamati ya maadili, hivyo kuweni wavumilivu. Kikao kinaendelea.
5.Update 14:46
Kamati ya maadili imemaliza kazi yake, sasa ni zamu ya CC kuingia, lakini Rais Kikwete katoka, Kikao kitaanza akirudi.
MB 8 zimekwisha.... sasa anakopa
update za maana mpaka kuanzia saa 12 jioni,hapa watu wanachangamsha kijiwe tu
Tayari cc washafanya yao, wamemkata! dah inauma sana!
Habari za uhakika ni saa 12 jioni au saa 1 jioni ndiyo majina yatatangazwa.
Endeleeni kurushana roho.
Teh teh teh.
Jamaa wanasikitisha kweli mtu anavunja kanuni zote na wote tunaona bado tu anachekewa kwani hata 'Dr Mwele Malecela' angekuwa anaandikwa kila siku kwenye magazeti kwa kutetewa au kupigiwa debe na makada hadharani, yupo kwenye TV na chombo rasmi kila saa kina angalia maslahi yake au anatetewa na makada wanaomkubali kwenye TV si angekuwa hot cake tu.Asee hyu edo wanamuogopa balaaa, ila cc raia wala hata hatuna mda nae ni fi..si..d na hlo halibadiliki
jamani taarifa ni ya uhakika asilimia mia moja lowassa amekatwa rasmi na viongozi wameamua kwa pamoja liwale na liwe tu pinda kapeta pamoja na jaji ramadhani wengine sijapata waliobakia ila ni za uhakika
Ha ha haa jaman mbavu zangu