balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Nakumbuka alisema walikua wengi sana so Si rahisi kumuona na kuufahamu, Kumbuka wakati huo hawakua wanasiasa so hawakufahamiana. Acha Mambo hayo bhana babaangu nae alienda Uganda Mako alimwona?????
Weee nchi hii si ya LOWASA wala MEMBE ni ya WATANZANIA. Lowasa awe gentleman kama Mh. Mwandosya akubali matokeo. Kulikuwa na wagombea 38 waliorudisha fomu na bado 33 hawajalalamika. Lowasa anataka kufanya nini na rushwa yake na Gwajima mzee wa poda na Kingunge.
Nchi hiko imara na Mh. Rais ameonyesha ukomavu wa hali ya juu na kwa tukio hili ameturejesha wengi CCM na tunamuunga mkono. Hatuwezi kuongozwa kwa mafuriko.
Yaone mateso haya tuliyo nayo ya dhuluma na ufisadi. Lazima ifike mwisho na Mungu atatusaidia. AMENI
updates imeishia wapi?
mtazamo wangu na utabiri kutokea ni kuwapo kwa miungano wa vyama vipya kutoka ccm huenda team lowasa na baadh ya vigogo kuanzisha chama chao cha siasa
The way he is playing his game I dont see the green party getting to october in one piece.
Though I believe it was in pieces since his nomination in 2005, but i dont see the pieces surviving the current storm
hao wajumbe wa nec kama wanampenda lowasa basi wakanywe nae chai....
kwa askar kutokumuona au kuskia mtoto Wa rais yko front line ni rahis sana bas yy Huyo angejib Kuwa yy anakumbuka either as eyewitness or here say kuhusu mako.MBNA alkaa kmya,yule kchwa white ni muongo muongo tu GTA rafk yoke akamgeuka