balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Nakumbuka alisema walikua wengi sana so Si rahisi kumuona na kuufahamu, Kumbuka wakati huo hawakua wanasiasa so hawakufahamiana. Acha Mambo hayo bhana babaangu nae alienda Uganda Mako alimwona?????
kwa askar kukumuona au kuskia mtoto Wa rais yko front line ni rahis sana bas yy Huyo angejib Kuwa yy anakumbuka either as eyewitness or here say kuhusu mako.MBNA alkaa kmya,yule kchwa white ni muongo muongo tu hata rafk yke akamgeuka