Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Wewe...
Lowasa angeingia tano bora angepita na kuwaacha wengine kwa mbali sana. Bora walivyomfyeka kwny kamati ya maadili maana hata kule CC jina lake halikwenda kabisa...
 
tupo tayari kwa mgombea yoyote atakaye pitishwa na chama, makundi, visasi tutazifukia na kumnadi mgombea wetu kwa pamoja
 
Ninawasihi wote mliopelekwa dodoma na lowassa mjipange upya namna ya kupata nauli za kurudia. kufanya vurugu hakusaidii manake mtaishia jela bure. ukishindana kuna kushindwa hivyo basi jueni mmeshindwa. tafuteni nauli mrudi kwenu. mwisho wa fisadi umetimia.
 
Hivi mnatuchosha kwani rais wa nchi hii lazima awe Lowassa jamani. Anataka kutufanya nini mbona king'ang'anizi hivyo? Tumesema hatumtaki sio lazima atuongoze yeye. Rostam, Karamagi, Tibaijuka, Ngeleja, Chenge, wana lipi jema kwa nchi hii. Huyu Lowassa na akatwe tu Mungu katuepushia na mabalaa yao mafisadi kwa nchi hii
 

Closer beyond what eyes can see
 

sisy wote hao hawana nauli za kurudi makwao...sasa hapo unavyosikia wanarusha rusha miguu na mateke wanataka walau wahakikishiwe kuwa twatarudishwa makwao..leo asubuhi wamepewa tangazo la kusitishwa kwa chakula na malazi na pia nauli za kurudi makwao wajitegemee...tangazo hilo wamepewa baada ya ntu wao KUKATWA
 
Kimweri,
Ile nafasi ya dsg-un ni Ban KiMoon mwenyewe ndiyo anateua.

Mhusika hateuliwi wala hapendekezwi na Raisi wa nchi anakotoka.
 
Last edited by a moderator:
Nec wafuasi wa lowasa wanaleta fujo za kipuuzi. Naamini ccm hakiwezi kubadili msimamo wao kutokana na kundi la mafisadi.nimeona lowassa nae amekaa pale mbele ili aonewe huruma.mpuuzi sana huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…