Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

aende akajiunge na cha kingine yeye si anajimini raia wengi wanamkubali kwani lazima awe raisi kupitia ccm?!
 
Akiwa anahojiwa na Charles Hilali Kingunge amesema mazingira ya kuwakata baadhi ya wagombea yalijengwa mapema,na viongozi waliopo serikarini mapema kabisa.

Sasa maamuzi yanayo tokea na yatakayo tokea,yatatokana na kile ambacho kiliandaliwa toka mwanzo.

 
Makamba anakwenda kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, JK alitaka kumuweka Bilal lakini akaona huyu kigogo kumnyofoa itakuwa ngumu kukubali matokeo.

kupitia serikali ya Chama kipi?

Nyoo!! mmevimbiwa mkamwaga chakula na kuteketeza maghala mkizani matumbo yatabaki hivyo hivyo.

Sasa subirini Serikali ya Ukawa alafu mwangalie huyo mnayesema kuwa atakuwa waziri wa mambo ya nje atapitia mlango gani.

Mmelikoroga wenyewe na nilazima mlinywe na bahati mbaya mnanyweshwa.

mani**#*nazenu##@%$#*
 
Mkutano umefunguliwa na Mwenyekiti wa chama Rais Kikwete na kuahirishwa baada ya Dakika saba kwa kile wanachodai ni kuruhusu watu wakapate Chakula cha mchana. Wakati Mwenyekiti wa Chama anaingia, Wajumbe wa NEC walimpokea kwa wimbo wa "Tuna imani na Lowassa" hadi rais anakaa wameendelea kuimba.


Raisi nae pia alikuwa anaimba.
 
hakuna kitu kama hicho. mabomu huwa wanapigwa raia wa kawaida wasio wanaccm
 

mkuu hebu kuwa specific nimekutukana wapi? ni quote kwenye hilo tusi

Isijekuwa una refer mtu mwingine

Acha kukurupuka......relax....onesha tusi ulilotukanwa

Ebooooooooooooooooooooooo...Hii ni ID yangu ya 700
 
Wakuu mkutano unakaribia kuanza na wajumbe wameshaingia ukumbi mpya wa mikutano wakisubiri wajumbe walio kwenye mkutano wa NEC waje na majina matatu. Hii link tayari imeanza kuonyesha

[video]http://livestream.com/CCM/Uchaguzi2015[/video]


UPDATE:

Nape ametangaza kuwa Top 3 itasomwa saa tatu usiku na moja kwa moja mkutano mkuu utaanza.
 

Mkuu JK ana uwezo mkubwa sana, usisahau kwamba yeye bado ni Rais wa nchi hii, huyo magufuli atapozwa kwa uPM, Amina ni Makamu kwa kuzingatia gender na uzanzibar wake. Makamba ni mtoto wa JK chochote atakachoamriwa na JK yeye atakubali tu. After all yeye ni naibu waziri, hata akipewa kawizara kanamtosha.

Rais ni Mwanausalama Bernad Membe.
 
kuna tetesi nimezipata kwamba kura zimekuwa ngumu ndani ya NEC,asilimiq 90 wamepiga hapana,kura zinarudiwa mara ya tatu sasa na mijadala ni mikali,wajumbe ni kama hawamwogopi jk,labda kwa vile muda wake umekwisha,mkutano mkuu unaweza kufanyika kesho kitu ambacho kitayapa makundi muda wa kuzungukia wajumbe wa mkutano mkuu na kujiimarisha zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…