Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais


kwa style hii ukawa mtasubiri sana,kama mindset ndo ziko hivi
 
Wakipitisha madudu bungeni Poa, Wakipitisha madudu huku kwenu povu hadi puani

Fact! Naona wameonja uchungu ambao huwa tunaupata pale ambapo wanaptisha madudu bungen tena kwa mbwembwe
 
Nimekusamehe kwa maana mie sio mjinga. Kulingana na maelezo ya Nape mara tu baada ya kikao kuisha, amesema hatatangaza majina matatu, wasubiri kesho! Sasa mjinga nani hapo?

we nadhan ulikua unaangalia marudio AZAM TV & CHANEL 10.
ngoma ni leo kuanzia saa 3 uck
 

ad amekatwa

mleta thre
 
sasa wanapigia kura yale majina matano halafu kuanzia saa tatu mchakato wa kupitisha jina moja utaanza, kwa maelezo ya Nape
 

Actually you are wrong, CCM sio wajinga kama unavodhani kwenye kuchagua mgombania urais, infact they are smarter not to choose someone like Lowassa, unaweza fikiri watu wanampenda Lowassa but that wasn't actually a true fact, ulikua unapata view ya juu juu tu na kama Lowassa angepita kuwa mgombania Urais its obvious jamaa lazima angepoteza, hawa candidates waliobaki wote ni watu ambao wako very stable, u might think u don't appreciate any one of them ila u do appreciate them u just don't know it yet, u will.

I think CCM wamefanya a very smart move kwenye huu uchaguzi, though i wish mwaka huu chama kingine kiingie madarakani, ningependa kuona a change in the government kuanzia ngazi ya juu kabisa hadi chini, ingekua kama an indicator kua Tanzania is changing n so should the people follow along.
 
Mke wake kingunge amepewa makusanyo ya parking Kariakoo. Kote saa ni 300 wao saa shs 500 wanatunyonya sana
 
Vitu vinavyoongoza kwa kukatwa nchini;
• Mauno
• Keki
• Umeme
• Lowassa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…