Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Ndivyo ilivyopangwa na hatimaye Dr Migiro ndio ataibuka kidedea, Magufuli aliandaliwa kuwa PM na huyo January anaenda Foreign Affairs kuchukua nafasi ya Membe!!
 
Kaina umeua mkuu haa Mwang'onda anakuhusu hapo
 
Last edited by a moderator:
Mzee Wewe Umri Umeenda Hauwezi Ukatuchagulia Rais Kapumzike Nyumbani Usubili Tukuletee Sukari
 
Basi sawa.Kwa maana hiyo Migiro na Makamba ni wasindikizaji.
 
Magufuli hata hivyo ni jembe na Membe lazima asulubiwe na kundi la Lowassa kwenye NEC.
 

tunashangilia tu kama mazuzu Lwasa anakatwa kiimani na katika hao watano magufuli hatokuwa rais hata siku moja mutamsikia makamba-chunguza sana mikutano ya makamba ya kutangaza nia na ile ya wadhamini you will draw a picture of what is and will happen uzuri haya mambo yamerahisishwa na msimu kwamba kabla ya jambo flani utasikia hili lifanyike baada ya-------------inatoa muda wa kukutana kiitikadi na kuweka strategy
 

Watatafuta GOLI LA MKONO, ila wajue yanamwisho, na mwisho ni sasa.
 
Tatizo lake ni wanamtandao ndugu,walizani mwaka uhu itakua kama 2005 walijiaminisha mia kwa mia kwamba wameshika mpini kwa kukiweka chama mfukoni,


sasa wamepigwa (babel) uongozi haupatikani kwa fedha na kuigiza kwa kusomba watu ili uonekane unakubalika sana,


hongera mzee kikwete maana msinge gundua haka kamchezo nchi ihi ilikua inakabidhiwa kwa michwa, walio kua wana haha usiku na mchana kuhakikisha mtu wao anapita,wale nchi ihi,,

mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu JK inchi ilikua inakwenda kwa michwa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…