Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

wajumbe walivyokataa kumuuliza maswali amina ali wakati alikuwa hana confidence kama wakimuuliza asha migiro na magufuli maswali basi ni kura za maruhani za kambi ya lowasa kuchagua mgombea kituko,hakyamungu
 
magufuli mjanja, huoni na lukuvi naye ameanza kufuata nyao hizohizo?
 
Act Wazalendo haina usajili. Jina lililosajiliwa ni ACT TANZANIA. Ikitokea Lowasa akaenda ACT WAZALENDO hapo ndipo ccm unamtumia Msajili wa vyama vya siasa kuifuta rasmi act Wazalendo.
 
wengi loe ndo watajua kuwa huyu mma ni wa songea..
 
wajumbe walivyokataa kumuuliza maswali amina ali wakati alikuwa hana confidence kama wakimuuliza asha migiro na magufuli maswali basi ni kura za maruhani za kambi ya lowasa kuchagua mgombea kituko,hakyamungu

kura za team lowassa zinaenda zanzibar
 
Inavyoonekana Team Lowassa wanataka kumwaga mboga kumpa Amina ili ccm ishindwe kuprove kwamba walikosea kumkata.
 
Kachoka na nini kwani? Rais mtarajiwa hapaswi kuchoka kwa kiwango hiki. Ila mmmh! Huyu mama ni mzuri. Anafanana kama yule Joyce Banda wa Malawi

Hahaha hahahaha... Tension imemchosha...

Mzuri kweli, akitabasamu ndio anazidi kunoga
 
wajumbe walivyokataa kumuuliza maswali amina ali wakati alikuwa hana confidence kama wakimuuliza asha migiro na magufuli maswali basi ni kura za maruhani za kambi ya lowasa kuchagua mgombea kituko,hakyamungu
inaweza ikawa ni bora liende au wantaka waharibu tu
 
wajumbe walivyokataa kumuuliza maswali amina ali wakati alikuwa hana confidence kama wakimuuliza asha migiro na magufuli maswali basi ni kura za maruhani za kambi ya lowasa kuchagua mgombea kituko,hakyamungu
CCM hamna kitu ndio maana wanakimbia midahalo!
 
Tena tungerudi nyuma mbaya si hapa tulipo

Amesema kuna askofu mmoja alimwambia tunahitaji rais mzuri kama wewe ila yeye jk akamjibu askofu kwamba anatamani apatikane rais mzuri zaidi yake ili awavushe watz zaidi ya hapa walipo.
 
 
Huyu mama badala yakuongea jinsi yakuongoza anaanza kuwasifia walioenguliwa.
Anatafuta kura za kundi la Lowassa.....

Na usishangae wakampigia kura na kumchagua....

Lolote laweza kutokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…