Hapa wamestuka timu lowasa inaweza mpiga chini magufuli, so wanataka kwenda kucheza na matokeo kwanza
Sasa nani atalinda kura? Maana hawa jamaa kwa wizi wa kura na mizengwe hawajambo
Membe pamoja na mbwebwe zote mpaka za mizimu leo ameungana na mwenzake Lowasa safari ya huzuni .
VOTE FOR UKAWA
tusubiri kesho matokeo. ........!!!!!
Kuahirishwa kwa kikao kunatoa fursa za uchakachuzi wa kura!
Habari ni kuwa kura nyingi sana zimeharibika baada ya wajumbe kuandika LOWASA. Kweli kazi wanayo.kikwete mhuni kabisa..kaahirisha kikao mpaka kesho asubuhi
Kwa wote aliyejieleza vizuri zaidi ni Asha Rose Migiro, but Magufuli apitishwe tu utendaji wake unambeba!
Wote hawakutegemea ... wameokota dhahabu njiani...tuna kazi kweli watanzania!
acheni ujinga watz uchaguzi huu unawapeleka kuwa wtumwa kwa miaka zaidi ya 100 ktk hii mikataba ya kushenzi.jifanyeni mnatafauta sifa za kuwa engineer na ukima mwingine mliofundinshwa ktk akili z akijamaa na wappuuzi wengine.sasa hivi kenge anayeingia ankwenda uza gesi na kila kitu na mwishowe mtajikuta mnakuwa magaidi ili kutetetea nchi kwani hakuna njia mbadala ya kubadili hiyo mikataba...hawa wagonjwa wa ccm wnegine watakuwa wamekufa aua wanajiliza uongo kwamba na wao ni wagonbania haki ya kurejebisha mikataba.
Kwa kweli alivokatwa nimefurahi. Miximu na matambiko yanaleta laana kwa nchi ndo mana tuna resources nyingi lakini hatuendelei kabisa. Bora sanaMizimu ni adui mkubwa wa maendeleo na kichocheo kikubwa cha ujinga na umaskini. Mungu katuepusha na hilo.
Sasa akaendelee kutambika
Jk amefanya nini sasa?
Alafu simuoni au kaenda kulia kama kaka yake pinda
Huu ni uhuni uliopitiliza!
Jamaa ni noma....wanachakachuliana hadi wao kwa wao.
Kulikuwa na ugumu gani kuzihesabu hizo kura papo kwa hapo?
Eniwei, acha tu wafu wazikane wao kwa wao.