Jabil Kassim
Member
- Jul 11, 2015
- 14
- 10
Ccm inataka kuchakachua mpaka kura zake wenyew duh hawa jamaa hawafai kabisa..
magufuli weweeeeeeeeeeeeeeeeeee!
kuna kitu kinaitwa 'political dynamics' ambapo misimamo inachange with time in a fraction of a second!.
Pasco
AMINA atapita kwa kura za kishindo.
Nadhani hii thread ndo imevunja rekodi ya kuws thread ndefu kuliko zote JF, hata hivyo UKAWA ndo Watachukua nchi.
Team Membe watampa Migiro na Magufuli;team Lowassa watampa Amina na wachache watampa Magufuli.Amina atakuwa na kura za ziada kutoka Zanzibar.
Kwa mahesabu haya,Amina,japo hajui kujieleza,ana nafasi kubwa zaidi endapo kura zitapigwa kimakundi na zaidi Amina ameonyesha kujali uwepo wa Lowassa wakati Magufuli kapuuzia kuomba kura za kundi la Lowassa.
Ni mtazamo wangu.
Unajua kashfa ya kivuko cha Bagamoyo.? Kashfa ya mabehewa.?