tuulize tuliopo jikoni dom.Tulieni....Mh. Lowassa hajakatwa...hii ni taarifa rasmi.
Daaaa, bado tuu jamani?
Sijui wale masheikhe na wachungaji waliomtangaza kuwa ni mpakwa mafuta wa Bwana wataficha nyuso zao wapi.
Mbwembwe sa kuvuta tention bwana...eti wingu zito! Kwani huoni jioni imeingia na ni kawaida ya anga kubadilika sura?
Lakini mbona Mangula m/mwenyekiti wa hicho chama alishasema wale wote 6 waliofungiwa mwaka mzima kwa kukiuka taratibu wasitarajie kuingia tano bora? Hadi sasa:
1. Makongoro
2. Mwandosya
3. Asharose Migiro
4. Jaji Augustino
Na kwa taarifa yenu...... Mama wa Taifa ndani ya Dodoma, kushuhudia mwanawe akipendekezwa kupeperusha bendera ya chama chao!!
kiswahili ulisoma kweli?? tamathali za semi unazijua??