Nani, Prof Muhongo?!Swali ni je,tayari AMEKATWA?
Hizo zingine mbwembwe tu!
Pitia post za nyuma baada ya hiyo utajua nimejuje
Waganga wote wameshindwa kumsaidia?
Kakatwaaaaaaa
Mnyama anaingiaje hapo ndugu!Lowassa anatambia wapambe wake tu lakini kwa Dr. Mangulla amekatwa kiulaini kama timu fulani isivyotamba mtaa wa Msimbazi.
Amin, God will make a way...!Lowasa anatosha
Wakimkata tu..wameanguka
Top 5 rasmi
1.Lowassa
2.makongoro
3.sumaye
4.agustino
5.magufuli
Kweli CCM chama Tawala Pro CDM , UKAWA , wanafuatilia pia ?
CCM OYEE!!
Kweli CCM chama Tawala Pro CDM , UKAWA , wanafuatilia pia ?
CCM OYEE!!
Namba 1 ndo rais