Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Hivi UKAWA mnataka mgombea gani ambaye mnaona mtamuweza.

CCM hata wampitishe yule mkulima bado atamuacha mbali sana Dr.Slaa.

UKAWA wanamuogopa sana Lowassa sijui kwa nini.
Malizeni kwanza ya kwenu. Nyinyi wenyewe ya kwenu yanawashinda mnageukia UKAWA
 
Mpaka sasa nimegundua watanzania wengi tu misukule ya ccm.
 
soma mwanahalisi online kuna hot news
 
CCM msifanye kosa la kutomteua LOWASSA,Hata Vyama vya upinzani vinashupalia sana asiteuliwe kwa sababu ni Mwiba kwao. Lowassa anakubalika duniani hata Mbinguni, ndio maana hata wapinzani wa CCM wanamuogopa sana.
 
Lowasa kua mgombea mwenza wa agustino ramadhani
Huu ndio uamuzi wa busara na hekima kukinusuru chama
 
Na Haswa Kipindi Hiki Ambacho Wengi Wetu Akili Zimepotea Kidogo Juu Ya Pressure Ya Nini Kinaendelea Jijini Dodoma. Tuvumiliane Tu!

Nimekuvumilia mkuu wala sioni shida kwa kua naamini kua kila asemacho mtu basi ni mawazo yake na ana haki ya kusema asemavyo. Basi tuendelee na mchakato wa uteuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…