Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mnainigia ukumbini kwa ajili ya kutangaziwa matokeo ?Waabdishi wakijipanga na kukaguliwa kuingia ukumbini
kiswahili ulisoma kweli?? tamathali za semi unazijua??
Tunakitaka chama chetu kwasababu sie ni wengi
Lakini mbona Mangula m/mwenyekiti wa hicho chama alishasema wale wote 6 waliofungiwa mwaka mzima kwa kukiuka taratibu wasitarajie kuingia tano bora? Hadi sasa:
1. Makongoro
2. Mwandosya
3. Asharose Migiro
4. Jaji Augustino
Na kwa taarifa yenu...... Mama wa Taifa ndani ya Dodoma, kushuhudia mwanawe akipendekezwa kupeperusha bendera ya chama chao!!
Kwa mara ya kwanza katika uhai wake CCM ina uoga wa kumchagua mgombea wake!
Kweli kwa mwoga huenda KICHEKO na kwa shujaa huenda KILIO.
Aidha UMOJA ni nguvu na UTENGANO ni udhaifu, Congratulations UKAWA.
Lowasa tano bora kama kawa
nina mashaka lowasa akikatwa kikao kitavurugwa
nina mashaka lowasa akikatwa kikao kitavurugwa
Nipo hapa.
Sijui wale masheikhe na wachungaji waliomtangaza kuwa ni mpakwa mafuta wa Bwana wataficha nyuso zao wapi.