Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Leo neno amekatwa limekuwa maarufu kuliko neno fisadi kwani linaulizwa na kila mtu amekatwa na watu wanajibu kiungwana bado tunasubiri wafuturu tuwasikie amekatwa
 
Lowassa ana roho ngumu kama kuku wa kafara full kutapatapa lakini mwishowe anazima zzzzzzzzzz!!!
 
Leo neno amekatwa limekuwa maarufu kuliko neno fisadi kwani linaulizwa na kila mtu amekatwa na watu wanajibu kiungwana bado tunasubiri wafuturu tuwasikie amekatwa
Habari za uhakika ni kwamba Lowassa amekatwa miguu tayari!!!
 
Org.com
httpp:/h.ww.chamacha mapinduzi.com

CHAMA CHA MAPINDUZI

tunashukuru ka maombi na wengne wanaozidi kutufuatilia tunachoomba ni kuwashukuru kwa usalama na amani ya nchi ilivyo sasa tumeshamaliza kikao cha majina matani kati ya walioomba ambao ni
1.Edward Ngoyai lowasa
2.Bernard Membe
3.Asharose migiro
4.Makongoro nyerere
5.Augustino Ramadhani

tunasisitiza amani ya chama na amani ya nchi naamini tunapoelekea wataenda kutenda haki na haki itazngatiwa na tutazngatia maoni ya wananchibpia wanahitaji nini nitoe lai tuu kuwaomba baada ya kupata futari basi wajumbe watarudi tena katika mkutano baada ya masaa kadhaaa kusikiliza kama hakuna ridhiko hapo lakini.mpaka sasa tulipofikia ni hapo na tutazidi kujulishana tunazidi kuhamasisha amani ya nchivna amani ya chama

Nape N
k/mwenezi

PAMOJA TUTASHINDA
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Ndiye mtarajiwa wa JMT awamu ya 5.
 
Watu tumekesha toka J5 hadi leo! Mimi na wazee wenzangu tuna mapresha na visukari pls tunaomba hiyo tano bora japo tulale leo
 
Haya haya, ndungu wapenzi wa na wasio wapenzi wa CCM.
Mambo yameenda kama mlivyotarajia na msivyotarajia pia. Kile tulichosubili kwa hamu sasa kipo tayari. CC imeamua kuondoa majina mawili kwanza yenye makundi ili kuleta balance kwenye majadiliano ambayo yana mvutano kweli kweli. Hivyo basi majina hayo ya watia nia wenye makundi makubwa waliokatwa ni ndugu mheshimiwa Benard Membe na Mh Edward Lowasa.
Baada ya kukatwa hao mjadala kidogo umepunguza mvutano. Nitawajuza kinachoendelea zaidi. Asanteni.
 
nawapongeza wabunge wa ccm watakuwa wamepata mtu sahihi wa kuwaombea kura katika majimbo,
 
Kwenye hiyo clip Mh JK anaonekana kachoka sana. Ni mfungo tu au kuna zaidi?
 
Back
Top Bottom