Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

kati ya majizi 37 na mwaminifu 1 ( mako),1 kati ya majizi 37 au mwaminifu 1 atawakilisha majambazi menzie.mwaminifu naye akiwakilisha menzie naye ni jambazi
 
CC hakuna anae enda na simu na kutoka toka hakuna hivyo hizo taarifa zenu za kakatwaa si za kweli
 
Hivi akina wasira ,ngeleja na nyalandu mbona hata tetesi za kupenya tano hakuna.
 
Leo neno amekatwa limekuwa maarufu kuliko neno fisadi kwani linaulizwa na kila mtu amekatwa na watu wanajibu kiungwana bado tunasubiri wafuturu tuwasikie amekatwa

Hapa ni style ya kimakonde tu akichimama nchale akikimbia nchale,,,akikatwa shida akiachwa shidaa patam hapooo!!!
 
Haya haya, ndungu wapenzi wa na wasio wapenzi wa CCM.
Mambo yameenda kama mlivyotarajia na msivyotarajia pia. Kile tulichosubili kwa hamu sasa kipo tayari. CC imeamua kuondoa majina mawili kwanza yenye makundi ili kuleta balance kwenye majadiliano ambayo yana mvutano kweli kweli. Hivyo basi majina hayo ya watia nia wenye makundi makubwa waliokatwa ni ndugu mheshimiwa Benard Membe na Mh Edward Lowasa.
Baada ya kukatwa hao mjadala kidogo umepunguza mvutano. Nitawajuza kinachoendelea zaidi. Asanteni.

Hu a yu
 
CCM msifanye kosa la kutomteua LOWASSA,Hata Vyama vya upinzani vinashupalia sana asiteuliwe kwa sababu ni Mwiba kwao. Lowassa anakubalika duniani hata Mbinguni, ndio maana hata wapinzani wa CCM wanamuogopa sana.

Leo unaandika lugha ya upole
 
Back
Top Bottom