Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
kati ya majizi 37 na mwaminifu 1 ( mako),1 kati ya majizi 37 au mwaminifu 1 atawakilisha majambazi menzie.mwaminifu naye akiwakilisha menzie naye ni jambazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we anza kuchimbaHakatwi mtu hapa,,akikatwa patachimbika
Wadau, moshi mweupe umeonekana? Au nado giza?
Kakatwa kidogo au pakubwa?
nec kesho nne asubuhi,cc yaendelea chanzo Nape.
mkuu vip kwema lakini maana naona presha imekupanda kulikon?Kakatwa kidogo au pakubwa?
Leo neno amekatwa limekuwa maarufu kuliko neno fisadi kwani linaulizwa na kila mtu amekatwa na watu wanajibu kiungwana bado tunasubiri wafuturu tuwasikie amekatwa
Jk nae ni janga lingine.. Anashindwa nini maliza mchezo. Ujinga
Haya haya, ndungu wapenzi wa na wasio wapenzi wa CCM.
Mambo yameenda kama mlivyotarajia na msivyotarajia pia. Kile tulichosubili kwa hamu sasa kipo tayari. CC imeamua kuondoa majina mawili kwanza yenye makundi ili kuleta balance kwenye majadiliano ambayo yana mvutano kweli kweli. Hivyo basi majina hayo ya watia nia wenye makundi makubwa waliokatwa ni ndugu mheshimiwa Benard Membe na Mh Edward Lowasa.
Baada ya kukatwa hao mjadala kidogo umepunguza mvutano. Nitawajuza kinachoendelea zaidi. Asanteni.
Nani kakatwa huko
CCM msifanye kosa la kutomteua LOWASSA,Hata Vyama vya upinzani vinashupalia sana asiteuliwe kwa sababu ni Mwiba kwao. Lowassa anakubalika duniani hata Mbinguni, ndio maana hata wapinzani wa CCM wanamuogopa sana.