Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanganyika ndo chakula gani?
Asante baba, Ubarikiwe!
Asante baba, Ubarikiwe!
Lowasa amepita tano bora safi sana,safari ya matumaini Oyeeeeeeeee..
we anza kuchimba
LOWASSA ndiye, leo mmekalia msumari wa moto, Hakuna cha UKAWA wala CHADEMA, wote tunasubiri mgombea wa CCM chama Dume!
Hi wanajanvi.
Nafikiri wewe na mimi wote tunatambua kuwa waliorudisha form za kuomba kupeperusha bendera ya kijani ni wengi, 38 kwa idadi na wote wako mji mkuu Dodoma wakisubiri kwa hamu watangazwe rasmi kupeperusha bendera.
Wasiwasi wangu ni kwanini 99% wanamsikilizia Bw. Lowassa kuwa either jina lake limepitishwa au la?
Kuna nini juu ya hili jina? Ni safi sanaaa au chafu sanaaa?