Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Dah...!!

Balile ameumia sana...

I can tell from his facial expression & movement of gestures...!!
 
Walitangaza leo star tv watakuwa live kutoka dodoma,Kupitisha jina moja mbona kimya?
Au wanaogopa mwenye taarifa tafadhali.

bado kuna kikao cha halmashauri kuu...mkutano mkuu baadae
 
Mheshimiwa Edward Lowassa ameongea na waandishi wa habari na kusema kuwa hana taarifa yeyote hivyo ataongea mara baada ya kikao kikuu cha kamati kuu ya ccm Taifa na kuwataka wafuasi wake wasiwe na wasiwasi juu ya taarifa na fununu zinazoendelea

TeamLowassa 2015 - 2025
 
CCM hata wakimleta malaika hawafai kupewa nchi tena.... Labda wakae pembeni mifumo iwekwe vizuri kwanza..!#
 
Ufinyu wako wa mawazo unakuchora ni namna gnai hufai kwa ujenzi wa taifa na ukombozi wa wanyonge.

Watanzania hatutaki itikadi za ukabila.

Baada ya kuvunja utemi na uchifu, hatuhitaji kuongozwa kwa misingi ya makabila au makanda. Tanzania ni moja. Tunamtafuta kiongozi sahihi wa Tanzania bila kujali anatoka kanda gani, yeye ni rangi gani, au dini gani.

Hayo mambo mambo ya kutengeneza itikadi za migawanyiko kwa watanzania hatutaki!. Sisi sote ni taifa moja!.

Hutaki ukabila wakati chama chenu ndio kinaleta ukabila?
 
Edo forever....!!!

Dr. Slaa chaguo langu la Pili...!!!

Wakimwacha Lowassa, CCM inakufa leo leo... Ukawa mapema wanachukua usukani....!!!

Lowassa nenda kokote UTASHINDAAA...

Tena ukitoka mapema hii kuwa Upinzani wananchi watazidi mara kumi ya sasa kukufuata, najua ww ni SHUJAA WA TAIFA LETU...!!
 
Back
Top Bottom