Bukanga
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 2,857
- 1,936
Kingunge anasema anaona mpasuko ndani ya MaCCM wasipochukua tahadhari...
Anasema ikitokea mtu au kundi linalodhani chama ni chao binafsi basi chama chao kitakufa...
Wakiweka mgombea ambae hakubaliki ndani na nje ya chama tutapigiwa kura za hasira...
Anasema ikitokea mtu au kundi linalodhani chama ni chao binafsi basi chama chao kitakufa...
Wakiweka mgombea ambae hakubaliki ndani na nje ya chama tutapigiwa kura za hasira...