Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

WAMETUWEKEA BABA MDOGO!!

IS THIS A FAMILY COUNTRY?

WAJUMBE WA NEC SUSIENI UJINGA HUU,THIS IS QUIET NOT FAIR!!

CHAGUO LA WENGI NI LAZIMA AREJESHWE!!

WE ARE NOT A SULTANATE COUNTRY!!

MKAPA,MWINYI SAIDIENI KUTUONDOLEA UDIKTETA HUU!!

THIS IS TOO MUCH!!/

**DEMOKRASIA ITUMIKE ZAIDI WENGI WAPE**

**TAIFA INAELEKEA WAPI? ENDAPO DEMOKRASIA INAPUUZWA**/ii
Usilalamike sana Mkuu, Kula yako wape UKAWA.
 
tatizo la lowasa ni moja u. Rushwa. lakini kama ni kazi anafanya sana tuu.
pia kama unatarajia ukawa hii ya akina mbowe kushinda, sahau. haitakuwa tofauti na yaliyomkuta mheshimiwa.


Baada ya CCM kuwatangaza watano bora wa kuwania ngazi ya urais imekua gumzo mtaani baada ya Edward liwassa kutokuwemo kwani watu wengi walifikiri kua liwasa angekua wa kwanza kutajwa kati ya watano haoo Lakin nakishukuru chama hicho maana kumetupa mwanya mkubwa UKAWA kushinda ngazi hiyooo. PEOPLES POWER
 
tatu anapita
amina salum ali
j.makamba
j.magufuli

raisi wenu n

amina s ali

makamu january makamba


waziri mkuu magufuli ama william lukuvi toppp

cu nyt

Hata Bangi HAIDATISHI Kiasi Hiki Wewe Umevuta Kitu Gani Mkuu Pdidy Na Mwenyezi Mungu Akusamehe Tu. au Umechanganya Vilevi Kijana?
 
Jamani bado tu hajarudishwa mtu wetu
Mabadiliko ya safari

Safari ya Matumaini
Safari ya Matumain
Safari ya Matumai
Safari ya Matuma
Safari ya Matum
Safari ya Matu
Safari ya Mat
Safari ya Ma
Safari ya M
Safari ya Mo
Safari ya Mon
Safari ya Mond
Safari ya Mondu
Safari ya Mondul
Safari ya Monduli



😂😂😂😂😂😂
 
Watanzania wote ambao mmesikiliza .mahojiano yaliyomallizika sasa hivi Azam/chanel 10 kati ya Charles Hilary. Na mzee Kingunge sentensi ya mwisho ya mzee huyu kasema."Kama viongozi wa chama hawatawaleta jina linalokubalika kwa wanachama na nje ya wanachama basi watakuwa na mpango wa kuangusha chama na hatimaye kusababisha vurugu ktk nchi." Mwisho wa kunukuu.Tutafakari kwa pamoja.
Kuishi kwingi kuona mengi.... Sipingi hata neno moja.
 
Acheni ujinga wa kuingiza UDINI hapa, katika watano Migiro, Magufuri na Membe dini moja na Amina na Makamba dini nyingine udini uko wapi hapo? Msitudanganye Fisadi mwenzenu hakupita mnawaza mirija yenu mtaiweka wapi sasa mnataka kuleta uchochezi, Shame on you!!

..hata mimi sijaona udini.

..nilichoona ni MIZENGWE.

..hakuna demokrasia ndani ya CCM.

NB.

..Magufuli na Membe ni wakristo.

..Migiro, Ali, na Makamba ni waislamu.
 
Tatizo lililopo ni how comes Bernad Membe aingie top 5????? kwa vigezo gani alivokuwa navo vya kumshinda Lowassa??????
Kama Lowassa kakatwa kwa nini Membe hakukatwa???? Ukiliwaza hili swali hata ukiwa raia wa kawaida tu lazima upate shida.
Swali lingine how comes Migiro amepenya hadi tano bora???? Tuseme Migiro uzoefu wa kimataifa na serikali kamzidi Dr. Mahiga???? Hapo hata kama hujaenda shule lazima ujiulize.
Swali lingine walimshawishi Jaji Ramadhani kuwalaghai kina Warioba ili wasiwashe moto??? alafu wamekuja kuwasuprise dodoma????? Haya ni maswali mengine mazito sana.
Swali lingine watu wanajiuliza Makamba kaprove kitu gani kwenye nini hadi kumshinda mtu kama Muhongo???? yaani hadi aingie tano bora????
Watu wanajiuliza vilevile Membe ana kitu gani special sana wakati alishawai kutamka kuwa ye ni mtu wa kisasi yaani akiwa raisi maadui zake 11 waamie kenya???? Hivi wale wazee wote makini hawakuliona hilo??????
Watu wanauliza kuwa how comesmtu aliyesema Tanzania kujiunga na OIC akiwa kama waziri wa mambo ya nje hadi akaitilafiana na baadhi ya viongozi wa dini leo chama kinamuona yuko sawa hata kuingia 5 bora?????

Ukiangalia kwa makini kuna maneno yamekuwa yakisema kuhusu project WAMA na hili ndo limekuja kujidhihirisha hapa.

KIUKWELI NI KWAMBA ILI HAWA JAMAA KUONEKANA WAKO FAIR WAREKEBISHE UAMUZI WAO JINA LA MEMBE WALITOE, MIGIRO ATOKE NA LOWASSA ASIWEPO ILA WAWEKE WATU AMBAO HATA WAKISEMA TUMEWACHAGUA HAWA BASI JAMII IWEZE ANGALAU KURIDHIKA NAO.
 
wewe ni kibaraka wa mafisadi. huna lolote, ishia huko.


wanatanzania kama kweli tuna nia njema na mama Tanzania{kama mbatia anavyopenda kuita} hiki chama kinapashwa kupumzishwa kushika hatamu, kupitia huu mchakato nimejifunza mambo kadhaa
1.huwezi kuwa kiongozi ndani ya ccm hata kama unakubalika na wanachama wote wa ccm
2.unaweza kuwa kiongozi wa ccm pale tu kiongozi/viongozi wa juu wa chama,pamoja na familia zao,tunalionna hili kwa mwenyekiti
3.matajiri wanawachagulia ccm/Tanzania viongozi
 
Acheni ujinga wa kuingiza UDINI hapa, katika watano Migiro, Magufuri na Membe dini moja na Amina na Makamba dini nyingine udini uko wapi hapo? Msitudanganye Fisadi mwenzenu hakupita mnawaza mirija yenu mtaiweka wapi sasa mnataka kuleta uchochezi, Shame on you!!
Kuna wendawazimu humu wanajifanya wanamfahamu Membe wakati hawamfahamu matokeo yake wanaemfahamu tangu zamani tunawachora tu na kuwaona kama wehu waokoteza maneno ya vichochoroni...
 
Back
Top Bottom