KipimaPembe
JF-Expert Member
- Aug 5, 2007
- 1,285
- 698
Ila kinachoendelea ni contempt of the highest order against the chairman of the party.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukawa ndio mkombozi wa watanzania .
wakuu kwa mujibu wa mjumbe ndani ya kikao cha Nec amesema January magufuli na migiro ndio waliopenya tatu bora
Ila kinachoendelea ni contempt of the highest order against the chairman of the party.
Sawa Mkuu. Umeolewa?
Nimekupenda sana yaani. Naomba tu uwe wangu. Hata kwa kuchepuka.ndio...kwani vipi
Wakuu nijuzenn, itawezekana kweli haya majina kutenguliwa na kupitishwa upya??? Naomba tu kujua
hivi wabongo hamna kazi ee, unaacha kujenga maisha unakaa kwenye TV kuangalia wengine wakitengeneza mpunga wao
Acha bana mkubwa. Lowasa ni masai hawezi anguka kwa jambo dogo hilo. Kaisha potezea muda mrefu. Ni nyie wapambe nuksi mnakosa usingizi. Pole sana bana.