Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Mungu alikuwa na makusudi kumchukua Komba mapema, maana naona leo hata nyimbo za uhamasishaji zimegoma.

Nyimbo za Komba zimechangia sana kuwalevya watanzania.
 
Amina pita mama pita ukoge nyoyo za waTz. Sisi wajinga tunahitaji kuongozwa na wewe ili tuerevuke kama🐇
 
Magufuli kajitengeneza mwenyewe kutokana na rekodi yake nzuri ya utendaji. Hakuna aliyekuwa anafikiria kuwa leo hii atapeperusha bendera ya CCM

kama wewe ulikuwa hujui ni shauri lako. Wenye akili tulivyotazama kwa Darubini kali tulijua miaka kadhaa nyuma kuwa kwa jinsi CCM ilivyochafuka hawana option zaidi ya kumpendekeza Dr. Magufuli, ambaye kwa record ya utendaji yeye ndiye mwenye nafuu.

Magufuli amechafuka kwa sababu system iliyopo inamlazimisha kupiga dili hata kama hataki, lakini yeye binafsi hana element za kufisadi nchi kama wengine humo CCM.

Na CCM ikitaka kurudi kwenye chart, Mwakyembe awe Waziri Mkuu.
 
Polepole alishawambieni kateni Membe na Lowassa wasiingie kwenye 5 bora hamkumsikia, naona leo jibu mmepata.
 
Me sielewi watanzania tunamwitaji raisi kutoka WAP ukawa au ccm kwa sababu ccm wakitangaza mnasema huyu ndie ataenda magogon na ukawa hivyo ivyo tuwe na kitu kimoja hata wakimpitisha mwanamke ili wawadanganye mama zetu tutasimama kumpitisha slaa
 
Ni pigo kubwa sana kwa UKAWA.
Mkuu hapa akipita Magufuli mambo yatakuwa mepesi mno. CCM itapeta kotekote, kwa Wabunge na Urais. Dr. Magufuli ni mtaalam wa kuongea. Akimpigia kampeni mgombea wa ubunge najua atapita.

UKAWA wanamfahamu huyu, kila alipokuwa akienda amekuwa akiungwa mkono na makundi toka vyama vyote.
 
Kuweni makini sana. Mtu anaweza kuwa manzese anauza mitumba halafu anawazuga yupo Dom.
Ndio maana hata picha ya geti hawezi kuweka
Kuna wengine wanasema wapo Dodoma kwa kazi maalum kumbe tupo wote hapa kwenye banda la chibuku.
 
Atakayeshindwa kulipa sh.200 hapa feli kwenda kigamboni, apige mbizi.
Haya si maneno ya kidictecta jamani???
 
kama wewe ulikuwa hujui ni shauri lako. Wenye akili tulivyotazama kwa Darubini kali tulijua miaka kadhaa nyuma kuwa kwa jinsi CCM ilivyochafuka hawana option zaidi ya kumpendekeza Dr. Magufuli, ambaye kwa record ya utendaji yeye ndiye mwenye nafuu.

Magufuli amechafuka kwa sababu system iliyopo inamlazimisha kupiga dili hata kama hataki, lakini yeye binafsi hana element za kufisadi nchi kama wengine humo CCM.

Na CCM ikitaka kurudi kwenye chart, Mwakyembe awe Waziri Mkuu.

kazi bado unaweza ukashangaa magufuli hapiti. Subiri kwanza kura .
 
Back
Top Bottom