Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,933
- 5,394
anadhani kuongza nchi ni kama wizara akifika huko akayaona madeni ya nje na figisu figisu za wafanya biashara na ma hitman ndo atajua uzito wa nafasi hiyo.....maana sasa hivi kuna kundi linamlia mingo wakshajua bit zake wanaingiza vocal then business as usual