Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni MJINGA tu kama jina lake alilojipa!Okay unaweza kwenda kuangana na wenzio utueleze namna mbowe alivyokosea mjingamimi
... mwezi nchanga yule! Komandoo unachekacheka mbele ya wanaume sio! Funny enough hapakuwa hata na tukio la kuchekesha; ukumbi mzima ulibaki kumshangaa!Ikupendeze Mh. SULEY koram yetu imekamilika na tuko tayari kuendelea lakini pia tumuombe shahidi aache kucheka mahakamani maana hatuelewi ni kicheko cha furaha au huzuni
... sio tu shahidi bali komandoo mkufunzi! Uzima wa akili yake ni wa kutilia shaka; no wonder from the begining wakili msomi Kibatala ali-caution "the lights are on but nobody at home" msemo unaomaanisha "mtu mjinga". Alishamwona muda mrefu!Et Shahid anacheka mahakamani
... kiini cha shauri zima ni huyo jamaa! So, ni lazima atapishwe kila kitu to the extent possible. Na amehara haswa maana "pipi" bado zinaendelea kumtoka!Kibatala kamuhoji huyu jamaa Alhamis siku nzima, Ijumaa siku nzima, J. tatu siku nzima na leo bado anaendelea nae.
Ubarikiwe kwa maneno yako.Huyu luteni sio mjinga kiasi hicho, na nijuavyo mimi kati ya askari wote askari jeshi ni wako humbe sana tena sana ukizingatia huyu ambaye amefika mpaka rank za juu kiasi hicho sidhani kwamba jeshi lilimuona hamnazo likaruhusu afike mbali kiasi hiko.
Najaribu kufikiria hatma yake baada ya hii kesi, kwenye jamii, kwenye familia yake na kwao huko, kwenye utumishi wake jeshini, sijui itakuwaje kwa kweli lakini yupo kwenye nyakati ngumu mno ndio maana hata anacheka pasipo chekesha, nadhani pia ule ukakamavu wa kijeshi ndio umemfanya astahimili kusimama mpaka leo hii kuendelea kutoa ushahidi.
Ila jamuhuri na washauri tena, mwungwana akivuliwa nguo huchutama!
Kuteleza sio kuanguka semeni tu neno rahisi SORRY.
Hongera na pole kwa kazi nzito iliyo mbele yenuKesi imeanza twende pamoja
Hili fundisho kwa Wengine kuwa Ushaidi wa uongo haufaiKibatala kamuhoji huyu jamaa Alhamis siku nzima, Ijumaa siku nzima, J. tatu siku nzima na leo bado anaendelea nae.
Anaenda kuulizwa vitu vigumu mno ! atajuta kutumika , leo kila kitu kinafumuliwaLeo huyu shahidi wa mchongo anamaliza ushahidi wake!
Wewe malaya wa kisiasa ulitaka yawe na tija kwenu iliiweje?Maswali hayana tija yes good for you thenNgoja tusikilize maswali yasiyokuwa na tija toka kwa mawakili wa utetezi.