comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Unasema kama unauhakika hivi- soma hiyoShahidi yupo jijini Dar tangu J2, sema kila akimezeshwa desa anatema halikai mukichwa...... ndo kesho anaendelea na kumeza madesa! uongo wa kupambana na kina Kibatala ni kazi Ngumu mno, najua mashahidi washashtuana ila watafanyeje ikiwa maboss ndo washapika ngoma na imetoka mbichi, kutwa kujikanyaga kama migambo!!!