Yaliyojiri kesi ya Mbowe leo Novemba 3, 2021: Shahidi Upande wa Mashitaka ashindwa kutokea Mahakamani, kesi yaahirishwa hadi Novemba 4, 2021

Ujumbe uliotaka kufikishwa ni upi kwa maoni yako?
Alitaka kunyooka kwamba ushahidi wa sabaya ni wa kunyooka ila wa Mbowe ni wa kuunga unga na sote tunaona ushahidi wa Mbowe, huyu ndugu alisema kinyume chake.. ndivyo nilivyo muelewa.. kwa maoni yangu...
 
ila wafuasi wa mbowe mnaroga sana![emoji1787].
nashauri idadi ya wanao ingia kwenye ukumbi wa mahakama ipunguzwe au wasichiwe vilivyo.
washirikina kibao wanaingia, nimewashuhudia kwa macho yangu.
 
Mungu yupo upande wa chadema ndio maana Mara nyingi upande wa mashahidi wa upande wa pili huwa wanaumwa kwa hofu ya kutunga ushahidi wa uongo Kama mbowe hakuwahi kumiliki line ya tigo
Ivi walio moshi wameshindwa kabisa kumpata yule muuza mbege
 
Tunamwamini Mungu kutenda jambo la ajabu katika kesi hii asante Mkuu Replica kutuunganisha na Mahakama.

Jamii Forum imekuwa mahali salama kwenye usiri kuliko Tigo
Na Kwa nini tusiwashauri JF waanzishe kampuni yao ya simu ili sote tulioko huku Tigo tuhamie mahala salama!
 
Naunga mkono. Hasa hilo la mazuzu kule mjengoni. Ni hasara tupu kwa nchi.
 
Wana CDM wengi watahama sana......kwa ujinga huu
 
Shahidi roho imemsuta
 
ila wafuasi wa mbowe mnaroga sana![emoji1787].
nashauri idadi ya wanao ingia kwenye ukumbi wa mahakama ipunguzwe au wasichiwe vilivyo.
washirikina kibao wanaingia, nimewashuhudia kwa macho yangu.
Gambosh siku hizi wameokoka wote? Lumumba kuna budget ya kamati ya ufundi.
Hakuna siri ya wawili.....shahidi wa leo aligoma,amejitoa...wamemtishia.... Kaka wasomi wanafahamu nini kimetokea
 
Gambosh siku hizi wameokoka wote? Lumumba kuna budget ya kamati ya ufundi.
Hakuna siri ya wawili.....shahidi wa leo aligoma,amejitoa...wamemtishia.... Kaka wasomi wanafahamu nini kimetokea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inabidi Tigo wamfukuze kazi yule pimbi..kwenda mahakamani kuongea maneno mazito kama yale. Kwamba kampuni haiwajibiki kutunza siri za wateja... wanataka nani sasa atunze?

Mpaka leo TIGO hawajasema kitu Wala kukana tamko alilotoa mwanasheria wao na hii Ina maana wanakubaliana nae kuwa Tigo hawana jukumu la kutunza siri za wateja wao
 
ila wafuasi wa mbowe mnaroga sana![emoji1787].
nashauri idadi ya wanao ingia kwenye ukumbi wa mahakama ipunguzwe au wasichiwe vilivyo.
washirikina kibao wanaingia, nimewashuhudia kwa macho yangu.
Wakala wa shetani ,kumbe na uchawi umo.Kanisa limeingiliwa Kwa kweli.
 
Huyo Mkenya aliyeibukia kwa Gwajima ndio tuliambiwa alimteka na kumtesa Dr Ulimboka.

Kali zaidi ya Mo Dewji suspect eti ni Tax driver na gali iliyotumika ni Toyota surf ilitelekezwa maeneo ya ocean road, prime area kwenye maximum security.πŸ˜„πŸ˜„
 
Nashukuru kwa kunikumbusha mkuuπŸ˜‚

Sijawahi kuona polisi mwenye akili.
 
ila wafuasi wa mbowe mnaroga sana![emoji1787].
nashauri idadi ya wanao ingia kwenye ukumbi wa mahakama ipunguzwe au wasichiwe vilivyo.
washirikina kibao wanaingia, nimewashuhudia kwa macho yangu.
Mchawi wao namba moja ni yule Askofu Mwamakula, ndio ana tunguli zote, mzuieni asiingie mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…