Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu, Coplo Hafidh Abdallah Mohamed atoa ushahidi wake, kesi kuendelea Jumatatu 01 November 2021

Yaliyojiri Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu, Coplo Hafidh Abdallah Mohamed atoa ushahidi wake, kesi kuendelea Jumatatu 01 November 2021

Ata mbowe akifungwa ni sawa ila ukweli umejulikana naona aibu mwenye wanavyojichanganya

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Siwezi kushangaa wakimfunga. Kama wale kina Adamoo waliteswa na jaji akaona ni kawaida kabisa, basi lolote linawezekana maana hukumu tayari ilishatolewa tena na rais mwenyewe. Sasa hivi ni utekelezaji tu.
 
Masoud Great Thinker!!Hyo katuni Inaweza amsha mambo!Please ameshika shoka sjui anataka kulitumia kufany nini. Nchi yangu hii Sjui tunakoelekea wapi???!!
Hilo shoka kazi yake ni kukata miguu iliyozidi na kichwa kilichozi ili hatimaye mlango wa friji ufunge[emoji88]
 
Kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake itaendelea leo katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, ambapo upande wa mashitaka utaleta shahidi mwingine.

Fuatilia hapa kujua kitakachojiri katika mchakato mzima wa kesi hiyo kwa siku ya leo 29/10/2021


UPDATES

Mpaka sasa mawakili upande wa utetezi tayari wamewasili mahakamani.

Mpaka sasa ni saa nne kasoro, kesi bado haijaanza.

Jaji anaingia 3:50

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe dhidi ya Jamhuri inatajwa.

Wakili wa Serikali Robert Kidando anasimama kutambulisha

1. Robert Kidando
2. Nassoro Katuga
3. Ignas Mwanuka
4. Esther Martin
5. Tulumanywa Majige
6. Jenitreza Kitali
7. Abdallah Chavula

Wote ni Mawakili wa Serikali Waandamizi isipokuwa Jenitreza Kitali ni Wakili wa Serikali.

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Shauri limekuja kwa ajili ya kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja, tupo tayari Kuendelea

Jaji: Utetezi

Wakili Peter Kibatala: na sisi tupo tayari Kuendelea

Jaji anaandika

JAJI: Anakuwa Shahidi namba ngapi?

Wakili wa Serikali: Namba 03

Jaji: Majina

Shahidi: namba F 5914 D Coplo Hafidh Abdallah Mohamed

JAJI: umri

Shahidi: 38yrs

Jaji: Kazi S

hahidi: Askari Polisi

Jaji: Dini

Shahidi: Muislam

Shahidi: Mimi namba F5914 Coplo Hafidh naapa kuwa kwa ushahidi huu nitakaotoa utakuwa wa kweli, Eeeh Mwezi Mungu nisaidie

JAJI: KIAPO KIPO SAWA?

Jaji: asaidiwe

Shahidi: Mimi Coplo Hafidh nathibitisha kuwa Ushahidi nitaka toa utakuwa wa kweli, kweli mtupu, Eeh Mwenye Mungu nisaidie

Wakili wa Serikali: nitakuuliza Maswali utajibu kwa Sauti

Wakili wa Serikali: Kazi yako

Shahidi: Askari Polisi, nafanya Makao Makuu DSM

Wakili wa Serikali: Askari polisi tangu lini

Shahidi: 2013

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama tukufu Kituo chako cha kazi ni wapi

Shahidi: Forensic Beaural Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Forensic Beaureau ni kitu gani

Shahidi: ni Maabara ya Uchunguzi wa Kisayansi

Wakili wa Serikali: Upo Kitengo gani

Shahidi: Silaha na Milipuko

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Kitengo chako kinahusika na Nini (Ballistic and Explosions)

Shahidi: Uchunguzi wa silaha na Milipuko

Wakili wa Serikali: Upo tangu lini?

Shahidi: Tangu 2014

Wakili wa Serikali: umesema Kitengo Chako Kinahusika Kuchunguza silaha, eleza Majukumu yako ya Msingi ni yapi

Shahidi: Kuchunguza Kitako cha Risasi(cartridges)

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kwenda Eneo la tukio kwa Uchunguzi

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kuandaa Riport baada ya Kuchunguza Ballistic and Explosion Report

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kutoa Ushahidi Mahakamani

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama kama unajukumu lingine

Shahidi: Hakuna

Wakili wa Serikali: Mnafanya Mambo yapi

Shahidi: Kupokea Silaha mbalimbali zinazofanya Uhalifu, Je hii silaha Inafanya kazi..? Hii silaha ni Mzima..? Hii sasa ni Physical Examination.

Wakili wa Serikali: sasa Mnafanya nini

Shahidi: Tunafanya Visual Examination

Shahidi: hii Bunduki ni Mzima, Ina Koki,.? Ina Magazini.? Je Magazini ni Nzima..? Kama inagonga Vizuri kama Nyundo inanguvu..? NitaIkoki katika Upande wa Mitambo Inafanya Vizuri Je Fine pin Inafanya Kazi?

JAJI: fine pin ni nini?

Shahidi: Kiwashio cha Risasi

Shahidi: Nitaangalia Ndani ya Bao (Mtutu) internal Ballistic Ni Safi..? Nitaikoki kama Inafanya Vizuri, Ni hayo tu

Wakili wa Serikali: sasa Uchunguzi wa aina ya pili ni upi

Shahidi: Nimepokea Pistol au SMG

WS: Unaitwaje huu Uchunguzi wa Pili

Shahidi: Comparison Examination

Wakili wa Serikali: Kitu gani kinafanyika

Shahidi: Nachukua Ganda nililoletwa na Mteja Kisha napeka kwenye Mitambo Maalum

WSi: Unafanya hii Comparison Kubaini nini

Shahidi: Je hii Risasi inasifa hii

Wakili wa Serikali: Mnatumia Mitambo Maalum

Shahidi: Unaitwa Computer Microscope and digital Camera Forensic Machine LAECA 2004

Wakili wa Serikali: Umeeleza Vyema, Kuhusu Uchunguzi wa Silaha Kwenye Risasi unafanya kitu gani

Shahidi: Kitaalamu inaitwa Life ammunition...Risasi itaangalia Kiwashio, Je imegongwa..!

Wakili wa Serikali: na hiyo Miss fired ieleze Mahakama, Je live ammunition ikiwa Miss fired Maana yake ni nini

Shahidi: Ni mbovu sababu ulipiga haikulipuka

Wakili wa Serikali: fafanua sasa Mahakamani endapo haijagongwa ni vipi

Shahidi: kama haijagongwa ni Nzima

Wakili wa Serikali: Tofauti na Kugomgwa na kutokugongwa Mnafanya kitu gani

Shahidi: tunaangalia Gun Powder Resolutions

Shahidi: kwemye Risasi Kuna Powder tunaangalia Je powder yako imeganda au Nzima

Yani Bullets Catridge tuna angalia Michuruzi yani Internal Ballistic

Hizo alama za Kipekee tunasema Proved, Shahidi Tuna angalia kitu kinaitwa Twist, Twist silaha/Risasi Kuna Twist Right na Twist Left, Na angalia Counts inasema Twist Right na Left Nyingine unapopiga Kuna Counts Mbili unapopiga Mpaka Kumdhuru Mtu. Inatusaidie Silaha mbalimbali zinazoweza Kufanya uhalifu

Wakili wa Serikali: Tumalizie kwenye Mlipuko, unachunguza nini

Shahidi: Inapotokea Mlipuko wowote sisi tunakwenda Kwenye Eneo la Tukio (SCENE), Wanaenda Askari wa awali. Alafu tunaenda sisi wataalamu Kuangalia kama Kilichotokea ni Local Explosive au Industrial Explosive

Wakili wa Serikali: Wewe unautalamu gani sasa,

Shahidi: Kuchunguza Silaha Mbalimbali ambazo zinatumika kwenye Uhalifu

WS: Kozi ya kwanza

Shahidi: Kuchunguza Maganda ya Risasi Mbalimbali

WS: Ulifanya kwa Muda gani

Shahidi: kwa Miaka 2

Wakili wa Serikali: kingine tofauti ya kuchunguza

Shahidi: Kuandaa Riport za Kitaalamu

Wakili wa Serikali: Kozi gani Nyingine umefanya

Shahidi: Kozi ya Uchunguzi wa awali ya Upelelezi, Basic CID course

Wakili wa Serikali: Ulifanya Mwaka gani na wapi

Shahidi: Mwaka 2004 kwenye Polisi College Zanzibar

Wakili wa Serikali: Ulijifunza nini huko Zanzibar

Shahidi: Nilijifunza Mambo mbalimbali ya Kiupelelezi, Nilijfunza Bunduki Kupiga, Kuchukua alama za Vidole, kutafuta Finger Prints. Kulift Finger Prints, baada ya Kuchunguza Finger prints na Kuhamisha

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: Kufungua na Kuirudishia Bunduki

Wakili wa Serikali: Kingine

SHAHIDI: Nilipata Elimu ya awali Juu ya ku Collect Ushahidi Katika Crime scenes

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama kama ulioata Kozi Nyingine

Shahidi: Baada ya Kurudi Ofisni nilihitajika kwenda Kozi Nyingine Moshi Mwaka 2006

Wakili wa Serikali: Ulijifunza kitu gani

Shahidi: Techniques, protocol in Fire arms Evidence

Wakili wa Serikali: fafanua

Shahidi: Kufungua silaha, Vifaa vyake Kuirudishia, na Kutengeneza kama inawezekana NikAfanya Polisi College Dar es Salaam ambayo inaitwa Ballist tools, fire arms, tools and Ballistic Materials testing Mwaka 2007.

Wakili wa Serikali: Kozi Nyingine

Jaji: Jina Kozi rudia

Shahidi: To determine and Examination of fire arms

Wakili wa Serikali: Wapi

Sahidi: Botswana police College Mwaka 2010

WS: NYINGINE

Shahidi: 2015 inaitwa Forensic in General

Ballistic Woundage, Vidonda, Mtu amepigwa Bastola amekufa naangalia Shooter alikuwa Upande gani

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Utaratibu wa Kupokelewa Vitu Vya kufanyia kazi ukoje

Shahidi: Kwanza Mteja awe na Barua

Wakili wa Serikali: kwenye Barua kuna kuwa na nini

Shahidi: Barua ionyeshe kosa

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: aeleze nini anaomba tumfanyie

Wakili wa Serikali: Tofauti na Barua anakuwa na Nini

Shahidi: aje na hivyo Vielelezo husika sasa

Wakili wa Serikali: Barua pamoja na Vielelezo hupokelewa eneo gani na nani anapokea

Shahidi: anakuwa Afisa wa zamu anayetupangia Leo utakuwa zamu na Kupokea Vielelezo Tunakuwa wawili

Wakili wa Serikali: Makishapokea kama Afisa wa zamu anafanya nini

Shahidi: Tunapokea Barua na Kielelezo nafungua Kujiridhisha Alivyovileta yupo sahihi
Inaitwa firing Pin siyo fine pin
 
Kesi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake itaendelea leo katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa, ambapo upande wa mashitaka utaleta shahidi mwingine.

Fuatilia hapa kujua kitakachojiri katika mchakato mzima wa kesi hiyo kwa siku ya leo 29/10/2021


UPDATES

Mpaka sasa mawakili upande wa utetezi tayari wamewasili mahakamani.

Mpaka sasa ni saa nne kasoro, kesi bado haijaanza.

Jaji anaingia 3:50

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe dhidi ya Jamhuri inatajwa.

Wakili wa Serikali Robert Kidando anasimama kutambulisha

1. Robert Kidando
2. Nassoro Katuga
3. Ignas Mwanuka
4. Esther Martin
5. Tulumanywa Majige
6. Jenitreza Kitali
7. Abdallah Chavula

Wote ni Mawakili wa Serikali Waandamizi isipokuwa Jenitreza Kitali ni Wakili wa Serikali.

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Shauri limekuja kwa ajili ya kusikilizwa na Leo tuna shahidi Mmoja, tupo tayari Kuendelea

Jaji: Utetezi

Wakili Peter Kibatala: na sisi tupo tayari Kuendelea

Jaji anaandika

JAJI: Anakuwa Shahidi namba ngapi?

Wakili wa Serikali: Namba 03

Jaji: Majina

Shahidi: namba F 5914 D Coplo Hafidh Abdallah Mohamed

JAJI: umri

Shahidi: 38yrs

Jaji: Kazi S

hahidi: Askari Polisi

Jaji: Dini

Shahidi: Muislam

Shahidi: Mimi namba F5914 Coplo Hafidh naapa kuwa kwa ushahidi huu nitakaotoa utakuwa wa kweli, Eeeh Mwezi Mungu nisaidie

JAJI: KIAPO KIPO SAWA?

Jaji: asaidiwe

Shahidi: Mimi Coplo Hafidh nathibitisha kuwa Ushahidi nitaka toa utakuwa wa kweli, kweli mtupu, Eeh Mwenye Mungu nisaidie

Wakili wa Serikali: nitakuuliza Maswali utajibu kwa Sauti

Wakili wa Serikali: Kazi yako

Shahidi: Askari Polisi, nafanya Makao Makuu DSM

Wakili wa Serikali: Askari polisi tangu lini

Shahidi: 2013

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama tukufu Kituo chako cha kazi ni wapi

Shahidi: Forensic Beaural Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Forensic Beaureau ni kitu gani

Shahidi: ni Maabara ya Uchunguzi wa Kisayansi

Wakili wa Serikali: Upo Kitengo gani

Shahidi: Silaha na Milipuko

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Kitengo chako kinahusika na Nini (Ballistic and Explosions)

Shahidi: Uchunguzi wa silaha na Milipuko

Wakili wa Serikali: Upo tangu lini?

Shahidi: Tangu 2014

Wakili wa Serikali: umesema Kitengo Chako Kinahusika Kuchunguza silaha, eleza Majukumu yako ya Msingi ni yapi

Shahidi: Kuchunguza Kitako cha Risasi(cartridges)

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kwenda Eneo la tukio kwa Uchunguzi

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kuandaa Riport baada ya Kuchunguza Ballistic and Explosion Report

Wakili wa Serikali: Jingine

Shahidi: Kutoa Ushahidi Mahakamani

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama kama unajukumu lingine

Shahidi: Hakuna

Wakili wa Serikali: Mnafanya Mambo yapi

Shahidi: Kupokea Silaha mbalimbali zinazofanya Uhalifu, Je hii silaha Inafanya kazi..? Hii silaha ni Mzima..? Hii sasa ni Physical Examination.

Wakili wa Serikali: sasa Mnafanya nini

Shahidi: Tunafanya Visual Examination

Shahidi: hii Bunduki ni Mzima, Ina Koki,.? Ina Magazini.? Je Magazini ni Nzima..? Kama inagonga Vizuri kama Nyundo inanguvu..? NitaIkoki katika Upande wa Mitambo Inafanya Vizuri Je Fine pin Inafanya Kazi?

JAJI: fine pin ni nini?

Shahidi: Kiwashio cha Risasi

Shahidi: Nitaangalia Ndani ya Bao (Mtutu) internal Ballistic Ni Safi..? Nitaikoki kama Inafanya Vizuri, Ni hayo tu

Wakili wa Serikali: sasa Uchunguzi wa aina ya pili ni upi

Shahidi: Nimepokea Pistol au SMG

WS: Unaitwaje huu Uchunguzi wa Pili

Shahidi: Comparison Examination

Wakili wa Serikali: Kitu gani kinafanyika

Shahidi: Nachukua Ganda nililoletwa na Mteja Kisha napeka kwenye Mitambo Maalum

WSi: Unafanya hii Comparison Kubaini nini

Shahidi: Je hii Risasi inasifa hii

Wakili wa Serikali: Mnatumia Mitambo Maalum

Shahidi: Unaitwa Computer Microscope and digital Camera Forensic Machine LAECA 2004

Wakili wa Serikali: Umeeleza Vyema, Kuhusu Uchunguzi wa Silaha Kwenye Risasi unafanya kitu gani

Shahidi: Kitaalamu inaitwa Life ammunition...Risasi itaangalia Kiwashio, Je imegongwa..!

Wakili wa Serikali: na hiyo Miss fired ieleze Mahakama, Je live ammunition ikiwa Miss fired Maana yake ni nini

Shahidi: Ni mbovu sababu ulipiga haikulipuka

Wakili wa Serikali: fafanua sasa Mahakamani endapo haijagongwa ni vipi

Shahidi: kama haijagongwa ni Nzima

Wakili wa Serikali: Tofauti na Kugomgwa na kutokugongwa Mnafanya kitu gani

Shahidi: tunaangalia Gun Powder Resolutions

Shahidi: kwemye Risasi Kuna Powder tunaangalia Je powder yako imeganda au Nzima

Yani Bullets Catridge tuna angalia Michuruzi yani Internal Ballistic

Hizo alama za Kipekee tunasema Proved, Shahidi Tuna angalia kitu kinaitwa Twist, Twist silaha/Risasi Kuna Twist Right na Twist Left, Na angalia Counts inasema Twist Right na Left Nyingine unapopiga Kuna Counts Mbili unapopiga Mpaka Kumdhuru Mtu. Inatusaidie Silaha mbalimbali zinazoweza Kufanya uhalifu

Wakili wa Serikali: Tumalizie kwenye Mlipuko, unachunguza nini

Shahidi: Inapotokea Mlipuko wowote sisi tunakwenda Kwenye Eneo la Tukio (SCENE), Wanaenda Askari wa awali. Alafu tunaenda sisi wataalamu Kuangalia kama Kilichotokea ni Local Explosive au Industrial Explosive

Wakili wa Serikali: Wewe unautalamu gani sasa,

Shahidi: Kuchunguza Silaha Mbalimbali ambazo zinatumika kwenye Uhalifu

WS: Kozi ya kwanza

Shahidi: Kuchunguza Maganda ya Risasi Mbalimbali

WS: Ulifanya kwa Muda gani

Shahidi: kwa Miaka 2

Wakili wa Serikali: kingine tofauti ya kuchunguza

Shahidi: Kuandaa Riport za Kitaalamu

Wakili wa Serikali: Kozi gani Nyingine umefanya

Shahidi: Kozi ya Uchunguzi wa awali ya Upelelezi, Basic CID course

Wakili wa Serikali: Ulifanya Mwaka gani na wapi

Shahidi: Mwaka 2004 kwenye Polisi College Zanzibar

Wakili wa Serikali: Ulijifunza nini huko Zanzibar

Shahidi: Nilijifunza Mambo mbalimbali ya Kiupelelezi, Nilijfunza Bunduki Kupiga, Kuchukua alama za Vidole, kutafuta Finger Prints. Kulift Finger Prints, baada ya Kuchunguza Finger prints na Kuhamisha

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: Kufungua na Kuirudishia Bunduki

Wakili wa Serikali: Kingine

SHAHIDI: Nilipata Elimu ya awali Juu ya ku Collect Ushahidi Katika Crime scenes

Wakili wa Serikali: Ieleze Mahakama kama ulioata Kozi Nyingine

Shahidi: Baada ya Kurudi Ofisni nilihitajika kwenda Kozi Nyingine Moshi Mwaka 2006

Wakili wa Serikali: Ulijifunza kitu gani

Shahidi: Techniques, protocol in Fire arms Evidence

Wakili wa Serikali: fafanua

Shahidi: Kufungua silaha, Vifaa vyake Kuirudishia, na Kutengeneza kama inawezekana NikAfanya Polisi College Dar es Salaam ambayo inaitwa Ballist tools, fire arms, tools and Ballistic Materials testing Mwaka 2007.

Wakili wa Serikali: Kozi Nyingine

Jaji: Jina Kozi rudia

Shahidi: To determine and Examination of fire arms

Wakili wa Serikali: Wapi

Sahidi: Botswana police College Mwaka 2010

WS: NYINGINE

Shahidi: 2015 inaitwa Forensic in General

Ballistic Woundage, Vidonda, Mtu amepigwa Bastola amekufa naangalia Shooter alikuwa Upande gani

Wakili wa Serikali: ieleze Mahakama Utaratibu wa Kupokelewa Vitu Vya kufanyia kazi ukoje

Shahidi: Kwanza Mteja awe na Barua

Wakili wa Serikali: kwenye Barua kuna kuwa na nini

Shahidi: Barua ionyeshe kosa

Wakili wa Serikali: Kingine

Shahidi: aeleze nini anaomba tumfanyie

Wakili wa Serikali: Tofauti na Barua anakuwa na Nini

Shahidi: aje na hivyo Vielelezo husika sasa

Wakili wa Serikali: Barua pamoja na Vielelezo hupokelewa eneo gani na nani anapokea

Shahidi: anakuwa Afisa wa zamu anayetupangia Leo utakuwa zamu na Kupokea Vielelezo Tunakuwa wawili

Wakili wa Serikali: Makishapokea kama Afisa wa zamu anafanya nini

Shahidi: Tunapokea Barua na Kielelezo nafungua Kujiridhisha Alivyovileta yupo sahihi
Ni firing Pin siyo fine Pin
 
Wanatishia na elimu kwahivo vikozi vifupifupi eti ukasoma wapi? wapitena? Hahahhhaaah...!!
Wote hao wamefeli form four na wengi hata darasa la saba walifeli

Sasa mnawaonea kuhojiwa namtu smart alopiga madivisheni wani mwanzo mwisho kama wakili msomi kibatala.

Mashahidi wao wengi hawanashule wanaiaibisha serikali.
 
Nimeiona katuni ya Kipanya leo jamaa anavyohangaika kumfungia mwenzake kwenye friji wakati hapiti hata kwenye mlango wa friji yenyewe, nikajua kweli kuwa kichaa sio lazima utembee uchi barabarani.
Hahahahaha

IMG-20211028-WA0010.jpg


IMG-20211029-WA0013.jpg
 
Back
Top Bottom