kamsaidie shahidi wako anaumbuka hajui hata maana ya Terrorist na Terrorism eti utalii - maweee !!si umesema tuangalie matokeo ya form 4 na 6? Au hujui Chameni Mbowe alipata matokeo gani huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kamsaidie shahidi wako anaumbuka hajui hata maana ya Terrorist na Terrorism eti utalii - maweee !!si umesema tuangalie matokeo ya form 4 na 6? Au hujui Chameni Mbowe alipata matokeo gani huko
Kwani matokeo mazuri ya hapa bongo ndio uwezo wa akili?si umesema tuangalie matokeo ya form 4 na 6? Au hujui Chameni Mbowe alipata matokeo gani huko
Jamaa wanajivua nguo wangeachana na hizi case za kubumbaTerrorist = Ugaidi
Terrorism = Utalii
Hiyo ni kwa mujibu wa shahidi
Huyu ni aibu mkuu,askari mwenye experience anakwambia terrorism ni maswala ya utalii 🤣 🤣 🤣 ,alafu hata aina ya bunduki aliyotaja ni tofauti kabisa 😳 😳 😳 ,sasa huko Botswana alikuwa anawakilisha vp taifa kwa aibu hii?"Mallya: Wakati unaelezea ushahidi wako ulitueleza kwamba wakati unapokea ulivaa gloves na vifaa vingine.
Shahidi: Hayo ni mambo ya kawaida sana. Siwezi kueleza kila kitu hapa kwamba nilivaa miwani, gloves na hijabu.
Mallya: Mheshimiwa Jaji, naomba ajibu swali langu."
Shahidi wa leo ana jazba sana, halafu anaonekana ni mtu jeuri na mwenye kiburi....
Mbowe kaifanyia nchi hii kupitia biashara na siasa makubwa kuliko watu wa ukoo wenu wote in combined.daah mkuu kumbe Mbowe ni famba tu sasa.
Mti wowote tu mkubwa inawezekanaTuseme ukweli Kati ya Moro na Iringa Kuna mti wowote unaoweza kuukata na kuuburuta mpaka barabarani Hadi kufanya magari yasipite?
Aibu kubwa sn kwa serikali hii ya kikaburuNimeiona katuni ya Kipanya leo jamaa anavyohangaika kumfungia mwenzake kwenye friji wakati hapiti hata kwenye mlango wa friji yenyewe, nikajua kweli kuwa kichaa sio lazima utembee uchi barabarani.
Mtaani kwake tu hajulikaniMbowe kaifanyia nchi hii kupitia biashara na siasa makubwa kuliko watu wa ukoo wenu wote in combined.
Ni maarufu kuliko ujio wenu!
Wewe ata wilayani kwako hujulikani
Polisi hawatakiwai kuwa na ufaulu mkubwa. "Simbachawene".Terrorist = Ugaidi
Terrorism = Utalii
Hiyo ni kwa mujibu wa shahidi
Usimlaumu, mtu kakaririshwa ushahidi wa uongo zaidi ya miezi 6, kapewa madesa, ,MUNGU atafanya jambo lake , ni suala la muda tu.Huyu wa leo ndo kaharibu kabisa,yani anaulizwa terrorism ni nini yeye anajibu ni maswala ya utalii,like seriously? 🤣 🤣 Hii nchi ina watu wa aibu sana
Sio kweli,wajinga wengi ndio mnajificha kwenye matokeo mazuri.kaka ukitaka kujua mtu ni mwerevu ama famba wala usihangaike wewe angalia matokeo yake ya kidato cha nne na sita tu.
Hata wakimfunga mbowe,jamaa leo kaja na maabara ya terrorism ya utalii yaani wachunguze suluali ya shahidi ana jambo lake mle🤸🤸Shida yako ni nini wewe wakala wa shetani?Mbowe atafungwa furahi bassi
Unaweza kucheka mpaka ukakojoa haya mambo hayo😂😂Mallya: I have been Engaged Maana yake nini
Shahidi: Maana yake "Nimefanya Uchunguzi
Policcm ni weupe kichwani Kama bosi wao zeroleo kweli nimelewa uwezo wa polisi hata walio kuwa ngazi za juu kuwa ni tatizo ndani ya jeshi !
View attachment 1990852
Terrorist ni masuala ya ugaidi.Kwamba terrorism ni maswala ya utaliii[emoji38][emoji38]