Jaribu Facebook,Chadema in blood.Naona wanajitutumua.Mkuu leo Martin wapi? maana update zinachelewa mno jamvini !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu Facebook,Chadema in blood.Naona wanajitutumua.Mkuu leo Martin wapi? maana update zinachelewa mno jamvini !!
anaitwa IBILISI KINGAIHivi yule shahidi aliyekwapua 260,000 kutoka mfukoni mwa mtuhumiwa atairudisha?
Huwezi kuzuia updates , ziko palepaleUpdates zimegoma.MM martin naona kakwama na kuna account inaitwa @sautiYAupinzani nayo ime update kidogo lakini tayari naona twitter wameipiga pin.
Naam tushukuru kwa yote!!
Ziko wapi sasa!?Huwezi kuzuia updates , ziko palepale
Internet speed imeminywa bora uchumi wa watu uharibike ili tusipate updatesDuuh! serikali naona leo wameweza kuzuia updates.Mama kaja na mtambo nini wa kizuia....?
update zipo twitter mkubwa!! zama kule.Duuh! serikali naona leo wameweza kuzuia updates.Mama kaja na mtambo nini wa kizuia....?
Leo tena kama kawaida tunakuletea moja kwa moja yanayojiri kwenye Mahakama kuu , divisheni ya Uhujumu Uchumi , ambako kesi ya ugaidi unaogharimu kitita cha tsh laki 6 inaendelea .
Taarifa zilizopo ni kwamba yule shahidi aliyepata kipigo kikali na kutundikwa juu mithili ya nyama choma anayeitwa Adam kasekwa ataendelea kutoa ushahidi wake .
Akipigwa mvua pia mje na hizi porojoMashahidi wamegeuzwa kuwa wahalifu mbele ya mahakama. Kweli Kibatala ni Pilato.
Nasubiri siku HAIJIPII Zerro anasimama kizimbani kutoa ushahidi, atakachofanywa na Kibatala siku hio ataimba wimbo wa PGA usio na kiitikio.
Twitter kwa Goliath MfalamagohaZiko wapi sasa!?
Usiseme tu shahidi, sema yule shahidi kibaka.Hivi yule shahidi aliyekwapua 260,000 kutoka mfukoni mwa mtuhumiwa atairudisha?
😂😂😁Yaani kibao kimegeuzwa ghafla
Utadhani Mbowe ndiye kawashtaki🤣🤣
Jumatatu itakuwa chungu.Taarifa zilizopo ni kwamba yule shahidi aliyepata kipigo kikali na kutundikwa juu mithili ya nyama choma anayeitwa Adam kasekwa ataendelea kutoa ushahidi wake .
kwa hiyo mashitaka ya Ugaidi hawautaki tena wamerukia madawa ya kulevya.Jamaa wanamtengenezea inshu nyingine alikuwa anatumia madawa ya kulevya hko, hawakawii kumpeleka kwa mkemia mkuu wa serikali wapate positive findings, maana wanadai eti hakua na battle confusion ila nadawa ya kulevya!
Kesi ikiisha tu kesho yake tunalianza kwa maandamano "Katiba Mpyaa" watafurahiHamna kesi hapo, waTanzania wanapigwa chengesha kuhamishwa kwenye dai muhimu la Tume mpya na Katiba mpya,
Jamani leo vipi? Martin alikuwa anatafutwa nadhani imekuwa shida kidogo, let us wait and seeHuwezi kuzuia updates , ziko palepale
Si tu hlo , limeibuka lingine kuwa shahidi adamoo alikubali na kusaini kuwa aliachishwa kazi kwa utovu wa nidhamu, na kwa mujibu wa maelekezo yake aliachishwa kwa sababu ya battle confusion na si utovu wa nidhamu!kwa hiyo mashitaka ya Ugaidi hawautaki tena wamerukia madawa ya kulevya.