wengi pamoja na wewe hamkuelewa nini maana ya mateso na kipigo. Je muda wa kusaini maelezo aliteswa?..jibu ni hapana. utashikaje pen wakati una pingu? utakaaje kwenye kitu ili u- sign wakati una pingu miguuni, au wakati upo utupu nkMashaidi wa utetezi (Chadema) wanajigongagonga kweli. Yaani anasema Jaji aandike aliteswa na hakuteswa, vyote kwa pamoja!!! Wahesabu maaumivu kwa ushahidi huu
Lazima tujue mateso ni nini lakini lazima pia tujue kuwa kipigo ni sehemu ya mateso.
so wakati wa ku-sign shahidi hakuwa na mateso yoyote na ndiyo maana aka-sign.