Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni mambo ya kitapeli snKatika mashahidi wote hakuna aliyetaja madawa ulipokuwa huyu dada na kingai.
Huyu anauwezo wa kujua no ya bunduki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mambo ya kitapeli snKatika mashahidi wote hakuna aliyetaja madawa ulipokuwa huyu dada na kingai.
Huyu anauwezo wa kujua no ya bunduki
Yani mwanamke mzuri hivyo halafu muuza mbege!!Huyu anatanyooshwa leoView attachment 1994442View attachment 1994443
Shahidi anasema ana uwezo wa kuona. Lakini hapo hapo anakiri kuwa hana uwezo wa kuona.Shahidi anakumbuka namba ya bastola lakini hakumbuki jina la askari kwenye kitambulisho
Ushahidi wa kutungaUjinga mtupu! Yaani Askari from nowhere ataje namba za silaha?
Huyu nae poyoyo! Na huyu shahidi yaani RAIA wa kawaida akazikariri faster hadi Leo?
NI mambo ya aibu snShahidi anasema ana uwezo wao kuona Lakini hao hapo anakiri kuwa hana uwezo wa kuona.
Wakati anadeki na kufanya usafi, alikuwa na miwani. Wakati anakuja mahakamani, ameisahau alikotoka. These people are not serious at all!
Hii kesi ni ya aina yake kusema ukweli. Hadi ifikie mwisho, tutaona na kusikia mengi.
Mawakili wa serikali, wameamuwa kuachana na maelezo ambayo mashahidi waliyaandika na kutia saini. Wanawakaririsha habari mpya mpya kabisa ili tu ionekane kwamba kesi ina mashiko na kwamba PGO ilifuatwa sawia.
Hapo chacha yani hadi kete anazokutwa nazo mtuhumiwa zinahesabiwa hapo hapo kwenye eneo la tukio kisha polisi wanawaaambia raia waliopo jirani idadi!!Hawa mashahidi wanawatoa wapi...
toka lini askari anakamata mtu anamfanyia upekuzi then anamuonyesha raia silaha aliyomkuta nayo jambazi mpaka namba!....ili iweke na kwa malengo yapi...?
Kweli, aliyozidiwa na maswali hadi akaomba kwenda kukata gogo!Rekodi ya Kingai haijahinjwa Mkuu!
Noma sana
Chetia cha kidato cha nne chenye daraja la mwisho kabisa ndio kigezo cha kujiunga na jeshi la polisi!Shahidi anasema ana uwezo wao kuona Lakini hao hapo anakiri kuwa hana uwezo wa kuona.
Wakati anadeki na kufanya usafi, alikuwa na miwani. Wakati anakuja mahakamani, ameisahau alikotoka. These people are not serious at all!
Hii kesi ni ya aina yake kusema ukweli. Hadi ifikie mwisho, tutaona na kusikia mengi.
Mawakili wa serikali, wameamuwa kuachana na maelezo ambayo mashahidi waliyaandika na kutia saini. Wanawakaririsha habari mpya mpya kabisa ili tu ionekane kwamba kesi ina mashiko na kwamba PGO ilifuatwa sawia.
Afisa wa Tiss hawezi kujiexpose hivyo kwenye public.
Huyu lazima deiz zake zimjie kwa dharula leo kudadadeqOgopa sana kuingia kwenye 18 za hawa Mawakili Wasomi! Mallya, Kibatala, Mtobesya, et al!!! Yaani maswali yao, ni lazima tu yakutie kitanzini!
Huyu Muuza mbege na rafiki mkubwa wa Mzee Mgaya aka johnthebaptist, leo atajuta kuwafahamu hawa Mawakili Wasomi.
Anauza mataputapuYani mwanamke mzuri hivyo halafu muuza mbege!!
Upande wa pili ni upi huo?We mwenye ushahidi wa ukweli umeshindwa nini kuupelema mahakamani? nyie ndo mnaodai mnapenda haki? mbona hamzingatii haki za mashahidi? ushaona upande wa pili wakimdhihaki mke wa yule "komandoo" humu? acheni mahakama ifanye kazi yake.
Hadi hapa naanza kumuelewa afande Jumanne!View attachment 1994502
Wee ndio huyu mbege mama?
Mtaani naskia wanamtania tourismHata mimi namsubiri kwa shauku kubwa kabisa. Wengine tunaifuatilia hii kesi kama vile tupo mahakamani kabisa.
Sikuamini yule shahidi wa tatu aliyekuwa akijidai ni mtaalam msomi, alipoulizwa mara mbili kuwa terrorism ni nini na yeye kujibu ni masuala ya utalii!😂🤦🏾♂️
Pia pale walipotumia neno terrorist, “conspiracy to terrorist”, ilitakiwa watumie neno terrorism. Kuna vya kusikitisha, maajabu ya kushangaza, pamoja na vya kuchekesha haswa.
All in all, maisha ya wengine kina Mbowe yako kwenye msitari.
Ni mbege with happy ending.😜😜Yani mwanamke mzuri hivyo halafu muuza mbege!!
Dhalimu ni ccm na wewe ukiwemo.Kwani dhalimu wenu bado yupo?
Si mlikuwa mnashangilia juzi juzi tu hapa kwamba kaondoka?
Mungu gani wa kuhangaika na gaidiMUNGU asimame na akina Mbowe ili tumshinde huyu shetani, ibilisi, dikteta na katili.