Wakili wa Serikali: Hebu Kiangalie hiki kitu hapa, Iambie Mahakama ni nini
Shahidi: anaingilia bila Kushika, ni Bastola
Wakili wa Serikali: ambayo Imetoka wapi
Shahidi: Imetoka Kwa Adam
Wakili wa Serikali: Uliona wapi?
Shahidi: iliyotoka kwa Adam
Wakili wa Serikali: ni Kitu gani Kilichokufanya ukagundua
Shahidi: kwa namba
Wakili wa Serikali: Namba gani
Shahidi: A5340
Hapa tumepigwa na kitu kizito,mfanyabiashara wa kawaida kabsa kutoka kitaa anawezaje kukalili namba za bastora toka siku ya tukio mpk leo mahakaman[emoji848]