Yaliyojiri kesi ya Mbowe na Wenzake: Upande wa Mashtaka waendelea kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka Septemba 24, 2021

Huyo ni HAKAINDE wa Zambia, huku kwetu JPM hakutaka hata daraja la chini wala maafisa 2
Mabalozi wanaelewa
Pamoja na JPM kugoma kwenda nje akisema ni matumizi mabaya ya pesa walimtukana na leo wanamsifia haikande


USSR
 
Jaji: Wewe elezea yanayokuhusu tu, sababu mwanzo hukuongelea mambo ya DR ukasema huyakumbuki..

ha ha ha, shahidi kapata kidonge chake kujifanya mjuajiiii
 
Ni hatari sana. Nakumbuka jinsi wakili Lakha alivyosababisha baadhi ya mashahidi kuomba udhuru. Unahojiwa mpaka unajiona wewe sio shahidi bali ni mtuhumiwa wa kesi ya Uhaini!!!
Lakini mwisho wa mchezo hukumu ya Jaji Mzavas ilikuwaje? Kama uliifuatilia kesi ile mimi bado sijaona sababu ya kushangilia isipokuwa utulivu unahitajika
 
Kumbe watuhumiwa wote walikuwa in good condition Sasa kelele za kuteswa vya mawakili vilaza kina kiba-tala wanavitoa wapi?

USSR
 
Acha kujivika ngozi ya kondoo wewe chui!

Kuna haja gani ya kutumia neno la MUNGU ukijuwa fika upo upande wa dhulma?

Wewe na mwenzio Yehodaya mkiachana na uchumia tumbo ni wanawake mnaooneka mpo fresh tu upstair lakini njaa zinawatia aibu!
Ingekuwa heri wangeenda kudanga kuliko kudhurumu haki za watu.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Jaji: Wewe elezea yanayokuhusu tu, sababu mwanzo hukuongelea mambo ya DR ukasema huyakumbuki..

ha ha ha, shahidi kapata kidonge chake kujifanya mjuajiiii
Hapo unaona umeshinda kesi

USSR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…