kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Athari zake nizipi kwenye kesi yamsingi na jaji kaandika amegoma ,alijua baada yakusoma shaidi wa utetezi angeuliza maswali gani ili kuwatetea watuhumiwa..ha ha ha ha, Shahidi kashagoma !!!
SISOMI...
![]()
Je, hili nibao kwa watuhumiwa au bao kwa jamhuri ?
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app