Yaliyojiri Kesi ya Mbowe: RPC Kingai aeleza Mbowe alivyopanga kumdhuru Ole Sabaya. Kesi yaahirishwa hadi 27 Oktoba 2021


Shukrani kwa taarifa mkuu
 
Dont panick, mchezo hautaki hasira huu! Kesi bado mbichi sana, kuna ushahidi wa mawasiliano na transactions huko mbele...Tuendelee kufuatilia!
 
Dont panick, mchezo hautaki hasira huu! Kesi bado mbichi sana, kuna ushahidi wa mawasiliano na transactions huko mbele...Tuendelee kufuatilia!
Siwezi kupanic kwa hii kesi ya uongo, hamna kesi hapo, kama lengo ni kumfunga Mbowe ili CHADEMA ifutwe wafanye tu. na kwa umri nilionao na siasa za Tanzania na poliCCM hao.

Kwangu sio mageni haya . Au kupanick ni vile nakuelezea usioyajua.
 
Sema wafadhili wa chanjo ya corona
KWA USHAHIDI ANAOTOA HAPO WATUHUMIWA BOR TU WASEME WAFUNGWE TU MAANA WANAISUMBUA TU MAHAKAMA WAKATOI WALITENDA MAKOSA KWELI YAANI HUWEZIKUAMINI KAMA MBOWE NI MTUHATARI NAMNA HIYO WALIWALISHA MANENOWAJE WAFUNGUE KESI NDOGO WAJILALAMISHE WAMETESWA KUMBE JANJA YAO TU
 
Siwezi kupanic kwa hii kesi ya uongo, na umri nilionao na siasa za Tanzania na poliCCM hao.
Kwangu sio mageni haya . Au kupanick ni vile nakuelezea usioyajua.
AISEE MBOWE GAIDI KWELI NILIKUWAGA SIAMINI HUYU NI GAIDI WENZAKE WAMEANIKA YOTEE ATAKWEPA WAPI MBOWE ANANYONGWATAFUTENI MWENYEKITI MWINGINE TU HAINA JINSI
 
Shahidi: Mtuhumiwa tulimkamata na Kidaftari chenye Ramani ya Vituo Vya Mafuta Dar es salaam, Soko la Kilombero Arusha.
Ha ha ha ha

Jamani kweli dunia hadaa.... !! Kigai we ni noma
 
AISEE MBOWE GAIDI KWELI NILIKUWAGA SIAMINI HUYU NI GAIDI WENZAKE WAMEANIKA YOTEE ATAKWEPA WAPI MBOWE ANANYONGWATAFUTENI MWENYEKITI MWINGINE TU HAINA JINSI
Akili yako haina akili.
Hivi wale MAGAIDI wa CUF wapo jela gani, maana poliCCM walituonyesha mapanga yaliofungwa na bendera za CUF.
Acha kutuona wote humu tumezaliwa jana kama wewe.
 
Akili yako haina akili.
Hivi wale MAGAIDI wa CUF wapo jela gani, maana poliCCM walituonyesha mapanga yaliofungwa na bendera CUF.
Acha kutuona wote humu tumezaliwa jana kama wewe.
YAANI NDUGU HNAHAJA YA KUPANIC MAELEZO MBONA YANAJIELEZA MBOWE NI MTU HATARI SANA HIVI WEWE HUJIULIZI KWANINI KABLA MBOWE HAJAKAMATWA ALIKUWA HAFUATILII KESI YA HAO JAMAA YAANI ALIKUWA KAWATELEKEZA SASA WAMESEMA UKWELI HATA KAMA NI SHABIKI WA MBOWE KUBALI MATOKEO MBOWE GAIDI UKIBISHA UNAONEKANA HUNA AKILI HATA YA KUVUKIA BARABARA
 
Siwezi kupanic kwa hii kesi ya uongo, hamna kesi hapo, kama lengo ni kumfunga Mbowe ili CHADEMA ifutwe wafanye tu. na kwa umri nilionao na siasa za Tanzania na poliCCM hao.
Kwangu sio mageni haya . Au kupanick ni vile nakuelezea usioyajua.
Nayajua mengi mnoo kuliko wewe, hamna chochote unaweza kunielezea
 
Haa haa just haa haaa eti ushaidi yaani yaani kesi feki iandikwe na Sabaya na Kingai Hai , yapewe baraka na Magufuli ili kuifuta CHADEMA, mnaning’niza watu kama mshikaki na kuwaminya makende ili wasaini ,ndio mnaita mmechukua maelezo ya watuhumiwa?!
MaCCM mmekwama sana.
 
Nayajua mengi mnoo kuliko wewe, hamna chochote unaweza kunielezea
Kaa kwa kutulia si mnataka ushabiki wa kisiasa twende tu😄😃😄😃
Mnaotaka kutufunga na kutufutia CHADEMA yetu tumetulia. Nyie tu wakati wenu huu.
 
Wazee wa "PGO" leo ni aibu kwao, maelezo ya komando yapo straight, no chenga chenga, wakishuka na watu wa mawasiliano na transactions itakuwa balaa zaidi! Kumuepusha na aibu hii Mkiti ni vyema hii kesi sasa ifanyike kwa usiri, kama zile za ubakaji wa watoto..
 
Yaani unapoteza mudakwa hizo hasirazako hapo hakuna aliyelazimishwa wale walishatoswa na mbowe wakaamua kuusema ukweli kwa maelezo yao polisi baadae mkawalisha maneno waseme waliteswa ndipo kibatala wakili njaa akafungua kesi ndogo ambayo nayo imekama maana ni janja janja tu ili kuwanasua na uhalifuwao unajisumbua tu najuwa unaakili ila kama huna akili endelea kubisha mwisho wa siku nimiaka mingi sana jela wacha tuka mlisi mkewake maana alitaka kuangamiza taifa
 
Kabisa mkuu yaani jamaa alieleza straight hakuna chenga onampaka mashahidi wa ukamataji upekuzi mwenyekiti wa mtaa walishuhudia unakwepaje hapo sasa uje useme uliteswa ili useme yaani kibatala kwaakili yake ndogo aliwalisha maneno wadanganye mahakama wakafeli sasaushahidi mwaaaaaaaaaaaaaa gaid jela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…