New york City
Senior Member
- Jul 24, 2020
- 175
- 567
Tunduma tunaijua sisi silinde hakubaliki ccm wala chadema mpinzani mkubwa wa chadema angekuwa adeni mwakyonde ameanza kutia nia na kujenga chama mda sanaMwakajoka anakazi ngumu sana tunduma kapelekewa silinde ,silinde anakubalika na Chadema na CCM hili Jimbo gumu
Gwajima,gekur,mwambe,silinde,fa wote walishindwa kura za maoni ila ndio wabunge wateule mpaka sasaHivi Gwajima si aishindwa kura za maoni?
Hapa tuseme ukweli. Halima hatoboi hata chembe mbele ya Gwajima.Siyo kwa Gwajima, labda angerudi Angela
Waziri wa fedha huyoKimei kapeta
je katambi aliyepata kura mbili?Hivi Gwajima si aishindwa kura za maoni?
Kila jimbo unaishi? Una kiwango cha juu cha unafiki
Angela atateuliwaMathayo Oyee, Bi Angela asubiri wakati mwingine.
Endelea kujipa matumainiMwakajoka anakazi ngumu sana tunduma kapelekewa silinde ,silinde anakubalika na Chadema na CCM hili Jimbo gumu
Haya maoni yako huwa yanachekesha kweli, siku ile ulisema Lema hatoboi kule Arusha Mjini kwenye maoni, ukapiga kelele weee mwisho wa siku kimyaaa, leo unasema huyo mchungaji anaenda kumuangusha Mdee, labda kama kura zitapigiwa madhabahuni, Kawe ni ya Mdee, Gwajima atapigwa na atakosa pa kuficha sura yake.Mimi ni mwana Kawe na miaka yote. Najua kila joto lililopo huku. This time Halima hatoboi! It's sad lakini jiandae kisaikolojia
katambi alipata kura mbiliGwajima,gekur,mwambe,silinde,fa wote walishindwa kura za maoni ila ndio wabunge wateule mpaka sasa
Kwahyo katambi kapitishwa????je katambi aliyepata kura mbili?
Maselle muhongaji sana yule. Ila Katambi nae atapata tabu sana kutoboa mbele ya Chadema. Shy town Chadema wapo vizuri.Masele le masters of Harvard universitali chaliiiii LE mzee wa kuporaz fomuuu za waCDMZ
Huko Zanzibar watoto wote wa Mwinyi wamepewa nafasi
Tatizo lako unaongozwa na chembe chembe za tribalism.Hapa tuseme ukweli. Halima hatoboi hata chembe mbele ya Gwajima.
Gambo wako na nani😏Tuachie gambo wetu.... Makonda wako ndiye hafai