Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Waliosemaga aliyeongoza kawe kura za maoni alibebwa na mjomba wake vipi mbeleko imetoboka?
Hiki ndio Chama Cha Mapinduzi - CCM
Safi sana mwenyekiti John Pombe Magufuli na team yako
Wamestuka kelele za mitandaoni. Wakabadili gia angani. Unadhani hawana akili kama wewe?
 
Alichofanya Magufuli kuja na majina yake mfukoni ni kama anaonyesha kuwa yeye ni CCM na CCM ni yeye

Si kweli, kasema wazi anayo mafaili yote pale na mwenye kutaka kuhoji asisite kufanya hivyo.
 
Hongereni wote Mliopitishwa kugombea ubunge Majimbo Tofauti.

Kwa hilo Benchi la Ufundi Wapinzan hawana Chao watatoroka Mapema sana.

Kampeni zimekua rahisi sana hawana pa kutokea.Ccm chama makini

Heko mwenyekiti
I
 
Gwajiboy hata bila mbeleko ya Tume ya Uchaguzi huko Kawe kushinda ni kawaida,Mdee byebye!
 
Hapo patamu sasa, lkn H.Mdee harudi hata iweje amechokwa na kila mtu hata waliompigia debe kwa nguvu zote, binafsi naamini kabisa hata huyu dogo aliyeshinda maoni CCM Kawe angemuondoa Mdee Halima, ...
Gwajima hamuwezi Halima!
 
Yote hayo kwangu sio muhimu kama haheshimu dini yamtu mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…