wagotheleopardskiller
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 299
- 457
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapita bila shida, katambi anamaliza mchezo mapema pale shy town.Masele alikuwa mzigo sana na mtu wa kujisikia sana
Jimbo hili labda waue waislam tunaoishi kawe ndio Gwajima atapita kiuhalali.Hilo jimbo linaondoka asubuhi kwa sababu waumini wa jinsia moja ni wachache!
Ya mwanza sioni
Dk mpango vipikimei waziri wa fedha ajaye
Mbona Asilimia 99 walikuwemo Bunge lililopita na hatujaona uchapakazi wao
Makonda je amerudishwa? Inauma...Kuna mijitu.imekatikia ccm viuno wee lakini ndo baba kasemaHabari za mchana,.
Ni matumaini haisha yanaendelea hapo mlipo lakini kiukweli polen sana sana mlipambana kupata na kupitisha mliodhani ni watu sahihi kipeperusha bendera ya Ccm!!! Lakini ccm imethibitisha ina wenyewe nyie ni makambale tuuu hamna jipya na mlipoteza muda tuuu!!!!
Poleni na mchana mwema
Duh, hapo kwenye line ya pili utafiti ulifanya wapi ndugu?.Kawe Halima hatoboi, kule Ndanda kwa Cecil Chadema kama kuna mtu mwenye ushawishi jimbo wanalichukua mapema tu..
Arusha ngoma nzito.. Lema anapendwa na vijana wa kiume ila Gambo wamama na wasichana wanamkubali sana..
Mzee wetu DCI mstaafu Adadi wamempiga chini au...kikubwa awe mtulivu...chama kina nafasi nyingi..Nimefurahi MwanaFa kupitishwa lakini nilichogundua kwenye zile kura za maoni. Sio muongeaji mzuri na apunguze kuongelea vyeti vyake!!
Ni Jimbo la wasomi sawa, ila si unajua Halima alipita kwenye tundu la sindano uchaguzi wa 2015??Amini nakwambia, Gwajima Kawe hatoboi. Kawe sio watu wa kumpapalikia mtu. Ni jimbo la wasomi wengi sana na watu wenye uwezo wa kifedha. Gwajima na mascandal yake Kawe hawezi toboa
Nahawa ma DED na ma DC waliopo watapelekwa wapi?Hata hao walikatwa na ccm utawaona kweny u DED DC nk