Pole anajiita Jane(th)Duh nimeona ila kuna mdada humu sijui naninani lowasa alinilisha tango pori
Sijui umetumia kigezo gani, yaani Sugu alieongoza kupata kura nyingi zaidi ya wabunge wote 2015 leo umpe 50/50 na mtoto asiejua hata wapiga kura wake ni kina nani?!Mbeya mjini 50/50
Jerry alishatubu na Jerry lazima atapewa chochote hawezi ishia Ubunge tuHaijalishi..J. Slaa ni reference nzuri kama kweli wewe ni mfuatiliaji mzuri.
Mkuu ebu niangalizie jimbo la Meatu mkoa wa Simiyu kapita nani?Andrew chenge chalii
Mwakyembe chalii
Serukamba chaliii
Charles tizeba chaliii
Steven masele chalii
Kangi Lugola chaliii
Kapuya chaliii
Nchambi wa kishapu mzee wa mabunduki"nae kala za uso yaan siku ile pale chamwino alicheza miziki yote kwa bidiii bila kukaa maskini wamemtosaAndrew chenge chalii
Mwakyembe chalii
Serukamba chaliii
Charles tizeba chaliii
Steven masele chalii
Kangi Lugola chaliii
Kapuya chaliii
Mkuu ebu niangalizie jimbo la Meatu nani kapitaNchambi wa kishapu mzee wa mabunduki"nae kala za uso yaan siku ile pale chamwino alicheza miziki yote kwa bidiii bila kukaa maskini wamemtosa
Mbunge wang yule mkwajun lakin hamna kitu paleMulugo amerudi?.
Pamoja na CCM kuwa na utitiri wa watia nia lakini Majaliwa alikosa mpinzani. Ninachosema majaliwa atashinda ubunge tena kwa kishindo!!Hapo kwa majaliwa sijaelewa elewa