Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

Kule
Jimbo la busanda mkoani Geita,Kurwa Biteko ametendewa haki. Aligawa fedha kama njugu. Huyu kijana ni pacha na Doto biteko waziri wa madini. Mungu anamuona.
 
Wana Rorya wajue hawaikomoi CCM, wanajiweka mwisho wa mstari kwenye miradi ya maendeleo. Kupanga ni kuchagua.
 
Gambo mbona kapita Arusha pamoja na Rushwa.

Lowassa Jr. Kapita

Kitila Kibamba

Kawe Gwajima

Kigamboni Ndungiulile
Arusha gambo wangemtoa lile jimbo wangempa ushindi mkubwa lema ccm karata ya kumpa gambo pale wamecheza sana yule ndie anaeweza pambana na lema
 
Kwani Lakairo kafanya nini cha maana hapo Rorya?
 
Niangalizieni Jimbo la Meatu mkoa wa Simiyu kapita nani?
 
Tulia wewe, sisi ndio tuna dola, Mkurugenzi tunamlipa mshahara, DC tunamlipa, RC tunamlipa na mpaka NEC yakwetu...
 
Wana Rorya wajue hawaikomoi CCM, wanajiweka mwisho wa mstari kwenye miradi ya maendeleo. Kupanga ni kuchagua.
Hayo maendeleo mnayotoa kwa upendeleo kwani hizo pesa mnazitoa kwenye mifuko yenu?

Akili zenu sijui zinafanya kazi gani.
 
Wana JF sisi tuliokatwa kwa sababu ya kutotoa rushwa katika maeneo mengi tumeumia sana kuona vinara wengi wa rushwa ndo wamepenya.

Kwa kuwa nia yetu ilikuwa ni kuwatumikia watanzania tunaomba vyama vya upinzani vitupokee kwa kipindi hiki kifupi.

Kwa wale waliochukua fomu za NEC tunaomba mtuwekee hapa tuanze kuzijaza ili kama kuna makosa tuweze kuzirekebisha mapema. Lengo lingine ni kuandaa viambatanisho vinavyotakiwa kwa mfano background ya picha ya passport nk

Tumebaki na siku 5 zinatosha sana kukamilisha ujazaji wa fomu na kurudisha.

Tunaomba namba za viongozi wa upinzani kwa kila kata au jimbo ambalo vyama vya upinzani hawajateua bado wagombea wao ili sisi watia nia masikini tuweze kuonesha vipawa vyetu vya uongozi huko.

Chonde chonde msitubeze....tupendane

Wajumbe oyee
 
Wana Rorya wajue hawaikomoi CCM, wanajiweka mwisho wa mstari kwenye miradi ya maendeleo. Kupanga ni kuchagua.

dah hatari sana, futa hii mentality chief tena tupambane kama jamii iliyostaarabika hili lisiwepo kamwe..

Kodi hulipwa na Watanzania wote kwa serikali moja..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…