wewe binafsi unaweza mkabidhi mchaga jukumu la kukupokelea , kukutunzia na kukupangia matumizi ya pesa yako?kwa nini isiwe wizara ya fedha??..maana ndo taaluma yake ilipo
Hatujifunzi tu toka kwa akina Mtei, Yona, Mramba, etc?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe binafsi unaweza mkabidhi mchaga jukumu la kukupokelea , kukutunzia na kukupangia matumizi ya pesa yako?kwa nini isiwe wizara ya fedha??..maana ndo taaluma yake ilipo
Kuna kipindi na mwanae aligombea kupitia chadema nadhan uchaguzi uliopitaHamisi tabasamu jamaaa jimbo la sengereama amelifukuzia sana miaka na miaka alihamia chadema 2015 but kapitishwa na ccm tajiri tabasamu
Hehe tobo kisu anajichosha bure tu.Bora Mumshauri Mwenyekiti Wenu ajiondoe kwenye Uchaguzi kwa sababu hatashinda Uchaguzi.
Huo ukabila Nchi ni Yetu sote!wewe binafsi unaweza mkabidhi mchaga jukumu la kukupokelea , kukutunzia na kukupangia matumizi ya pesa yako?
Hatujifunzi tu toka kwa akina Mtei, Yona, Mramba, etc?
Ni yeye wala siyo mwananayeKuna kipindi na mwanae aligombea kupitia chadema nadhan uchaguzi uliopita
Ataacha kupeta chakula ya Dr Bashiru?Gekul kapeta
Naona kama Tarimba atapewa wizara wa Michezo; ana connections, fedha, fitina, anaaminika na mzoefu kwenye hayo mambo. May be FA akawa naibu wake. Ila Tale sidhaniNimefurahi Hamis Mwinyijuma aka Gwiji huyu jamaa namtabiria makubwa ikiwa ni pamoja na kupewa Wizara ya Habari Sanaa na Michezo akisaidiwa na Naibu wake Babu Tale.
Hongera Erick James Shigongo wengi hawajui Ila umeitafuta Nafasi hii kwa miaka 15 sasa.
Gwajima Mungu NDIYE ajuaye sisi tutatia shombo tu.
Dr. Kimei hutu naye namtabiria Wizara ya Fedha pale akashirikiane na Dr. Philip Mpango...
CCM ni chama kikubwa sana Kama ilivyo SIMBA katika upande wa timu.
Daaah Mkuuu mbona maneno makali sana, Mbona Makalla mtu poa sana Mkuu, niliwahi kuwa naye karibu nikagundua ni Miongoni mwa watu wachache wasiopenda majungu wala fitina. Kikubwa ni mtu wa kujipenda, matanuzi na batta sana lkn hii yako ya leo hapana. Pole sana brother Makalla Shabiki kindaki wa Wanamsimbazi kesho yako ipo ndugu yangu vuta subira.Mmetenda haki kwa Mvomero, Morogoro kwa kumuengua Amos Makala. Huyo ni mshenzi na jambazi. Alikuwa RC Mbeya lakini ni hovyooo kabisa. Mwache sasa arudie ujambazi wake tumfunge kirahisi.
Jamaa kapiga uno kisha katosa! Kudadeki, chuma kina roho ngumu kweliMAMA ANGELA KAIRUKII OOHOO...Nae chali8