Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hivyo watu wengi wakishapata pesa au madaraka ndo anakua na majivuno na kiburi, vikimuisha hana lolote. Nasiku zote wale wanaopata vyeo au pesa kwa njia zakuunga unga ndio wanaokua namajivuno na mdomo kuliko waliovipata kialali.Msumari wa mwisho kwa Bashite. Siku hizi hana lolote. Kweli vyeo vya CCM vimembeba sana. Yeye kama yeye hana lolote. Hata kujiajiri kashindwa kutwa kuwaambia vijana wenzao wajiajiri.
Wanasiasa hupenda kuwambia vijana wajiajiri ilihali wao wamejiriwa.Msumari wa mwisho kwa Bashite. Siku hizi hana lolote. Kweli vyeo vya CCM vimembeba sana. Yeye kama yeye hana lolote.Hata kujiajiri kashindwa kutwa kuwaambia vijana wenzao wajiajiri.
What's your point?!Unamaanisha pia ndio hao hao watakaopitishwa na kuchaguliwa na wananchi, kwako wewe kinachokukela ni kule tu kuwa wachumia tumbo bungeni,
Nusu fainali 28 October ndio kombe uwanjani!Leo kombe uwanjani.
Nitakujuza mrembo.Mkisikia Arusha mnitag. I can’t wait.
Samaki nje ya maji lazima afe.Msumari wa mwisho kwa Bashite. Siku hizi hana lolote. Kweli vyeo vya CCM vimembeba sana..Yeye kama yeye hana lolote.Hata kujiajiri kashindwa kutwa kuwaambia vijana wenzao wajiajiri.
Tunamsubiri huku Kigamboni TumnyoosheMacho na masikio yetu yameelekezwa hapo, tunasubiri kupata kujua mwisho wa Bashite.
misunderstanding It is a pointWhat's your point?!
Hakuna jipya, Arusha ni Mrisho Gambo, ccm bila rushwa ni sawa na uji na mgonjwa.Mkisikia Arusha mnitag. I can’t wait.
Kigamboni ni Ndugulile na si vinginevyo, kama kuna makosa Magufuli hawezi kuyafanya duniani ni pamoja na hili zigo la mavi ambalo alikuwa hajui alituwe vipi lakini finally likajiondowa lenyewe, kama kuna jimbo ambalo wala halina mjada kuteuwa mgombea basi ni kigamboni, Ni Ndugulile.Msumari wa mwisho kwa Bashite. Siku hizi hana lolote. Kweli vyeo vya CCM vimembeba sana..Yeye kama yeye hana lolote.Hata kujiajiri kashindwa kutwa kuwaambia vijana wenzao wajiajiri.
Mkuu hawadhubutu kukukata, wanakujua na wakijaribu tu, waoneshe! Unajiunga tu upande wa pili, unafungua watu macho!Eti kuna watu wanatarajia watu kukatwa! Magufuli hana ubavu huo, ndiye muasisisi wa rushwa kwa kuwanunua wapinzani. Vilevile mnakumbuka sakata la sisi wabunge wa CCM kuhongwa milion 10 Kila moja? Ilikuwa ili wapitishe mswada wa hovyo na Magufuli aliitoa hiyo Rushwa! Ana ujasiri gani wa kutukata majina? Ajaribu aone moto! Polepole na mbwemvwe zake kusema atatushikisha adabu, anaumbuka leo!! Mpuuzi mkubwa.
Wakimpitisha Ndugai nitawashangaa sana huyu mtu hafai kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi
Makonda is dying horse, hana chake, akajiajiri kama wanavyowashaurigi vijana kwamba ni wavivu na hawapendi kujishughurisha, na uzuri Makonda hana tatizo la mtaji kama walivyo vijana wengi.Tunamsubiri huku Kigamboni Tumnyooshe
Hao wako Ufipa!Wahuni, wauaji, watekaji,