kWA MTINDO HUU WA RAIS KUJITEULIA MAWAZIRI, hii hali itakuwa ngumu sana kui'reset maana haielekei kuwa itakuja badilika!ulimwengu;mwanasheria chenge alikuwa tayari kumfanyia lolote mkapa analitaka lifanyike hata si la kisheria mf.sheria ya rais kutangazwa mshindi hata kama kapata 19%
Jackbuwer mtupe hayo maneno yanayomuumbua si wengine hatuoni huku....
tuambie kile kilichosemwa..
Ni shida gani tena?....au Tanesco ndo washaagizwa?...vituko!Hujuma live...matangazo yamekata!
Asante sana Michelle, anawaponda kwa kubadili vipengele vya katiba ili wao na chama chao wafaidike.
Wakimbizi utawajua tu kwa ulalamishi, ngumu kuwaridhisha.
dah,wamerudi!!!
ITV wamekatisha kidogo.
Mkuu we report unachosikia
Please Mdau na wewe naomba uungane na Jack; Katavi na wengine kutujuza we need all the help.... PLEASE...
bwa ha ha haaaa speed yangu ya konokono, naogopa msije anza kuiquestion speed yangu ya kureport.