PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,199
- 8,761
kWA MTINDO HUU WA RAIS KUJITEULIA MAWAZIRI, hii hali itakuwa ngumu sana kui'reset maana haielekei kuwa itakuja badilika!ulimwengu;mwanasheria chenge alikuwa tayari kumfanyia lolote mkapa analitaka lifanyike hata si la kisheria mf.sheria ya rais kutangazwa mshindi hata kama kapata 19%