Yaliyojiri: Kongamano la Katiba: 15 Januari 2011 Nkrumah UDSM

Yaliyojiri: Kongamano la Katiba: 15 Januari 2011 Nkrumah UDSM

Katika kongamano la Katiba mpya Jenrali amesema kuwa Harakati za Kudai katiba mpya zisilengwe katika kuiondowa CCM madarakani.
Hii imekaavipi na mapambano dhidi ya CCM?

Ni kweli marekebisho au utungwaji upya wa katiba hauendani na kutaka kuiondoa CCM madaraka wanancho wote wanatambua kuwa CCM imetangazwa kuwa mshindi na tume ya Uchaguzi ,hivyo mabadiliko ya Katiba yataendana kuondoa kile kilichomuweka CCM na kutafuta njia mbadala ya kuweka mtangazaji asiependelea upande wowote yule na pia awe mwenye kutenda haki na kuweka wazi kila kitu.
 
ulimwengu;polisi si mtawala wa wananchi bali ni mtumishi wa wananchi.tuendelee kufanya kampeni ya katiba hii maana hatuna uhakika kuwa katiba hii tunaweza kuipata muda mfupi yaweza kuwa baada ya miaka 5 au zaidi
sawasawa kabisa...Polisi na ccm hawajui kwamba matendo yao yanawafanya watu wadai katiba kwa haraka kuliko ilivyotarajiwa...well and good!
 
Mchakato wa katiba lazima uhusishe watu wote na isiwe wa watu wachache.
 
Anasema tusikubali fasta fasta,lisiwe zoezi la asasi moja,bali wananchi wote wawe galvanised wazungumze katiba.
 
Prof Shivji: Eti Rais Nyerere hakuwa na uhalali wa Kikatiba! Kaaza kweli kweli!
 
Serikali yenye watu wenye busara wanasoma ishara za nyakati.
 
Asasi za kiraia kazi yake ni kuifanya serikali itawale kistaarabu na sio kukandamiza wananchi.
 
JENERALI

tusikabulai kwenda haraka haraka. Katika majanga makubwa yaliyopata jamii yetu ni faster faster. Kaitba sio zoezi la taasisi moja. Sio zoezi la rais, chama, wala waandishi wa habari bali ni suala la wananchi wote. Bila shaka rais kwa nafasi yake anaweza kusimamia jambo hili, vyama vya sias vinaweza kumobilize watu wake katika kuongoza vipengele muhimu, wanazuoni nao, na hata pande zote lakini muhimu zaidi ni wananchi wote na wananchi wote lazima wazungumzie katiba wakati wote, wakiwa wanaenda kulima, kuvua samakietc wanajukumu la kuchukua nafasi zao pamoja na civil societies kushiriki kama msimamizi mkuu wa mapokeo ya udhamini wa muendelezo wa mapokeo ya kidemokrasia. Kazi hii sio ya serikali. Kazi ya serikali ni kudhibiti na kukamata na kuzuia hata kama ukuta unataka kuanguka. Kwa silika ya serikali hakuna serikali inayoweza kudemocratize mambo mpaka isukumwe.

sERIKALI YENYE BUSARA na kuwajibika inajua kusoma wakati na kujua historia ya dunia na kujua ni wakati gani wa ku-give in. Ben ali hakusoma hizo ishara na sisi tjifunze kuzisoma hizo ishara. Guarantor au mdahmini mkuu wa democratic tradition ni civil society. kazi yao sio kusifia srikali baLI KUishinikiza kufahamu ya kuwa inaumiza wananchi

My own word¨s:; Dah, najitahdi ila kazi kweli kweli, sio rasmi
 
Ulimwengu haamini kama katiba mpya inawezekana ndani ya miaka 5 ijayo.
Mimi nadhani anamaanisha ili tuwe na katiba iliyo makini na ambayo ina manufaa kwa wananchi mchakato wake unatakiwa uwe wa muda mrefu.
 
AMA tunaomba msaada wako yaani kina Jack wanahaingaika na mobile wewe na keyboard yote hiyo..... please kuwa mzalendo... tunakuomba, hii ndio kazi ya JF kujuzana :help:
 
So inaonyesha viongozi wetu hawajui kabisa katiba, au ni kwamba hawaielewi?..
Wanarefer katiba pale wanapotetea maslahi...huh!
 
Mimi nadhani anamaanisha ili tuwe na katiba iliyo makini na ambayo ina manufaa kwa wananchi mchakato wake unatakiwa uwe wa muda mrefu.
Katiba ya Soth Africa imeandaliwa kwa miaka 100..and is the best in Africa right now!
 
Kuwapo kwa halmashauri za wilaya ni kwa hisani ya serikali kuu!!! Jenerali anasema haya ndio mambo ya kuzungumzwa na asasi za kiraia.
Je, kuna uhalali wa kuendelea kuwa na wakuu wa mikoa na wilaya??? Huu ni mfumo tuliorithi kwa wakoloni.
 
Back
Top Bottom