Yaliyojiri: Kongamano la Katiba: 15 Januari 2011 Nkrumah UDSM

Yaliyojiri: Kongamano la Katiba: 15 Januari 2011 Nkrumah UDSM

Ulimwengu.... tunaanza kuchukiana sababu ya mipangilio na utawala mbaya....watu wasioaminika, matapeli na wapuuzi
 
Wana jamii wenzangu angalieni itv kumekucha mambo ya katiba

Wewe ndio umestuka saa hizi, basi umepitwa na mengi................................wenzako toka jana tulikuwa tunasubiri.
 
watu na jamii fasta fasta kutaka kupata utajiri wa haraka haraka full kujirusha... Ulimwengu
 
kivipi mkuu?
Ishu ya rais kuteua wabunge, wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa....................na pia wananchi kuchagua wabunge.. Kunakuwa na muingiliano mfano bungeni kunakuwa na wawakilishi wengi wa serikali kuliko wa wananchi!!
 
Uteuzi wa wakuu wa mikoa na wilaya wanateuliwa kwa misingi ipi! Darasa la saba, fomu four, PhD, hadi Makoplo wa jeshi.
Wengine wanateuliwa kwa sababu ni shemeji wa mtu fulani au mchumba wa wakuu.......du jenerali anaua live!!


Good J ulimwengu
 
tunaogopa wakenya watachukua ardhi na mali zetu..... bora waje wakenya kuliko hawa matapeli (ulimwengu)
 
(ulimwengu) watu wanachagua mwizi kumpeleka bungeni, wanauza kura zao .... JAMII HII HAIWEZI KUANDIKA KATIBA
 
Watu wanaotoa majibu mepesi kwa maswali mazito......................wanaomchoma mwizi wa kuku na mwizi wanamchagua kwenda bungeni.
Haya ndio mambo ya kujadiliwa ktk mchakato mpya wa katiba.
 
Mchakato wa katiba uhusishe watu wote na sio watu wachache ili waweke maslahi yao katika katiba.
 
Kwa hali tulionayo sasa hatuwezi kuandika katiba mpya.tunahitaji kurudi kwenye misingi.
Naona anazitaja ahadi za mwanaTANU.
 
Ulimwengu..... tuwalazimishe wakuu wetu waseme cheo ni dhamana na sitatumia madaraka yangu......... na tuwapime.
 
Back
Top Bottom