Yaliyojiri: Kongamano la Katiba: 15 Januari 2011 Nkrumah UDSM

Yaliyojiri: Kongamano la Katiba: 15 Januari 2011 Nkrumah UDSM

Kwa hali tulionayo sasa hatuwezi kuandika katiba mpya.tunahitaji kurudi kwenye misingi.
Naona anazitaja ahadi za mwanaTANU.
Hizi ahadi zilikuwa zimetulia lakini sijui wamezitupilia wapi!!!
 
Huduma za kijamii ni lazima zitolewe ili kiuwajengea wananchi raha (the parsuit of happiness)

Naomba nieleze shughuli ambazo serikali haiwezi kuzishughulikia ila inaweza kuzipa nyenzo. Ni shughuli za jamii za kiraia ili kuondokana na matatizo mengi ya kijamii

Ninapoitazama tanzania pamoja na kujaa kwa hali ya umoja na udugu lakini tunaanza kuwa tofauti kwa sababu ya siasa na mifumo mibovyu ya kutawala. Ila watu hawana tatizo ila viongozi wao ndio wana matatizo.

Tumejenga kjamii ya makundi haya

Makundi ya wababaishaji. tumewajenga sisi pamoja na watwala wetu. Hawa wamefanya hatuamini hata kwa majirani zetu maana mara wtumeuza pamba iliyojza mawe au mafuta yaliyochakachuliwa.


Jamii ya watu waachawi ya kutumia search ingine kutafuta mchawi maarufu yuko wapi ili wawin na wengine wanaenda bungeni


tumekubali wito wa kuwa mjanja, chizika, pandisha mzuka, full kujirusha ambayo yote yametujaza upuuzi wa kibambucha.


Jamii isiyopenda kujifunza. Tumevifanya vitabu vitu visivyofaa kinyume na majirani zetu Kenya na ndio maana tunawaogopa. Bora waje wakenya kuliko kuwa na wajinga wakaharibu nchi hii


Watu wa kutoa majibu mepesi kwa maswali mazito (applause) kwa sababu hatupendi kutumia akili zetu.


WApiga kura wanauza kura zao kwa bakuli la kunde kisha kulalamika viongozi wasipowatendea haki


WATIU WASIOJUA MISINGI YA HAKI, LAKINI MWIZI WANAMCHAGUA KUMPELEKA BUNGE


KIMSINGI NI WATU NA JAMII ILIYOPOTEA


JAMII HII HAIWEZI KUANDIKA KATIBA, MPKA IADRESS MATATIZO HAYA


kama tume ya rais itakuwa na watu kutoka makundi mbalimbali na kwa watu wa aina hii, fanya unachoofanya ila tutakwama maana humo ndani kutakuwa na wezi, wazandiki, wababaishaji na wala rushwa huku kila mtu akiweka mambpo yake mbele


TUFANYE NINI: KUNA KITABU CHA MZEE KADUMA, TURUDI KWNEYE MISINGI KUPAMBANA NA MADUDU HAYA
1. BINADAMU WOTE NI NDUGU ZANGU NA AFRIKA NI MOJA
2. NITATUMIKIA NCHI YANGU NA WATU WAKE WOTE
3. NITAJITOLEA NAFSI YNAGU KUONDOA MARADHI, UJINGA NA RUSHWA
4. RUSHWA NI ADUI NA SITATUMIA WALA KUTOA RUSHWA
4. CHEO NI DHAMANA, SITATUMIA CHEO CHANGU KWA MANUFAA YANGU ILA YA JAMII

katika mchakato mzima wa kujadili katiba, tufike mahali tuwalazimishe watu wa naokuwa viongozi wetu waseme kauli hii na tuwapìme

5. NITAJIELIMISHA KWA KADIRI YA UWEZO WANGU NA KUITUMIA ELIMU YANGU KWA FAIDA YA NCHI. Je wanafunzi mnalielewa hili au wote mnalkmibilia kusoima ACCOUNTANCE
6. NITASEMA KWELI DAIMNA FITNA KWANGU MWIKO
7. NITAKUWA RAISA MWEMA WA TANZANIA, AFRIKA NA DUNIA NZIMA


TUYATAFAKARI HAYA, TUWE NA MUAFAKA WA KITAIFA, TUWE NA MARIDHIANO YA KITAIFA KISDHA TWENDE KWENYE MICHAKATO YA E EL MISINGI YA MAELEWANO NCHI TUNAPOELEKEA MCHAKATO WA KUJENGA TAIFA



MWISHO
 
Tuwe na national charter halafu mchakato mwingine ufuate.ulimwengu amemaliza.
 
Dr kitila mkumbo mwenyekiti wa mjadala anajaribu kutoa kanuni za mjadala.
 
Swali:.... Festo katiba imekuwa na michakato mingi....., mnasema katiba ni mali ya watanzania... katiba zilizopita sijaona katiba ya watanzania na viongozi wamekuwa wakitumia katiba ile ile na kusema wanafanya kwa mujibu wa katiba (confused...)
 
Dakika tatu kwa kila mchangiaji.........
Mchangiaji wa kwanza Festo............hakuna katiba ya watanzania, wananchi wafanye nini endapo katiba mpya haitopatikana?
 
Huu mgao huu najuta kuwa kwenye nchi yenye uzandiki mkubwa ona navyokosa mambo muhim hv watakirudia kipindi kweli aaah
 
Wananchi waeilimishwe na makongamano kama haya yawepo kwa wingi ili kucreate awareness!!!
 
Swali: Raisi kasema ataunda tume.... Je wananchi wanauliza uhakika wa hio tume utakuwa vipi
 
Tume nyingi zimeundwa na matokeo yake hayajulikani, uhakika wa tume ya katiba inayoundwa utakuwa vipi???
 
Duh, pole majukumu mengine muhimu zaidi yamefanya nisiweze kukusaidia.

Nafurahi kuona umekuwa mchangiaji mzuri wa kile ulichokuwa unakisikia na kukiona. Kudos.
Mi sina umeme ila imebidi niende kwa jirani na laptop yangu
 
Ahahahahaaaaah jamaaa anasema hana imani na mwalimu kwa kuwa aliuza utaifa du!!!!
 
Huyu baharia! LOL! Kweli mchakato wa katiba utachukua mda!
 
Kuna msela kutoka magogoni anasema hakuwa na imani na mwalimu.
 
Back
Top Bottom