Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wakuu ikiwa hii ni wiki ya lala salama, bado yule mgombea anayependwa nchi nzima na anayekadiriwa kushinda kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu anaendelea kuomba kura kwa wananchi wenzake, ambapo leo atafanya mikutano kadhaa kwenye maeneo mbali mbali ya mikoa ya Pwani, Mtwara na Lindi.

Endelea kubaki hapahapa JF kwa Taarifa za uhakika


==========

Somanga :

Mabomu ya Machozi yapigwa , unyama huu umeongozwa na Jeshi la Polisi

Your browser is not able to display this video.


Lindi :


Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Vielelezo vyote anekwishapelekewa na wazalendo
 
Mkuu Erythrocyte nimeStay tuned!
 
vip
mkuu vipi ameshaingia KUSINI? me nataka apitie pale RUANGA kwa wale wazee wa kazi waliompulizia MOSHI MWEUSI mtu fulani mpaka akapindua akageuzia angani siku tatu hajulikani alipo. nataka akawatembelee wale wazee wajaribu tena lile zoezi ili sasa liwe ndo meichi yenyewe wafunge goli kuu ili tupumue vizuri.

cc: britanicca Ruttashobolwa Erythrocyte imhotep Barbarosa Mshana Jr

Mshana Jr kamanda naomba unijuze kuhusu hili la MOSHI MWEUSI WA WAZEE WA RUANGWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…