Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara

Haitawasaidia kitu

Lazima tukuadabishe msaliti wa Nchi Lissu
 
Nilichogundua CCM ni waoga tena Sana wa hili Neno au sentensi inayosema"Kushindwa Uchaguzi".Na mtu muoga ni hatari Sana anaweza tumia njia yeyote ili mradi asipatwe na hilo Jambo.Sasa hivi wanafanya njia zote,za halali na haramu.Kuhakikisha balaa la "kushindwa Uchaguzi "haliwapati!
 
Kila la kheri sasa tupo pazuri mno
Wakuu ikiwa hii ni wiki ya lala salama , bado yule mgombea anayependwa nchi nzima na anayekadiriwa kushinda kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu anaendelea kuomba kura kwa wananchi wenzake , ambapo leo atafanya mikutano kadhaa kwenye maeneo mbali mbali ya mikoa ya Pwani , Mtwara na Lindi .

Endelea kubaki hapahapa JF kwa Taarifa za uhakika


==========
 
Jamani samahani naomba kuuliza: Hivi kwanini sura ya Tundu Lissu ni kama vile analia?
Hata Mimi nashangaa
IMG-20201022-WA0119.jpg
 
Back
Top Bottom