jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,603
- 3,776
Pamoko wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mgonjwa wewee huna tofauti na babakoHuko kapita sana tena mno
ZEC imeshaumbuka tayari, sasa NEC hayo ipo kwenye mtihani mkubwa..... wazee wa vituo hewa ....!Kamanda acha utani,Lissu hawezi kupata 70%, tunapoteza munda na pesa.
Unataka iwe kama anajiharishia kama ilivyokuwa ya baba yako.2015?Jamani samahani naomba kuuliza: Hivi kwanini sura ya Tundu Lissu ni kama vile analia?
Lile gari la mkaa likipiga safari za hivi lazima liende gereji mwezi mzima!Inahitaji mtu mwenye afya njema tu
ni kweli alipita ila hii ndo ilikuwa mara yake ya mwisho kupita kusini alipokutana na WAZEE WA RUANGWAHuko kapita sana tena mno
Hata Mimi kaka bado Mzee Mwanakijiji anaona aibu tu kujitokeza adharaniNimeshangazwa sana na ujio wa mtu huyu
Wito - Fichueni vituo hewa popote vilipo.
Jamani samahani naomba kuuliza: Hivi kwanini sura ya Tundu Lissu ni kama vile analia?
Wakuu ikiwa hii ni wiki ya lala salama , bado yule mgombea anayependwa nchi nzima na anayekadiriwa kushinda kwa zaidi ya 70% Tundu Lissu anaendelea kuomba kura kwa wananchi wenzake , ambapo leo atafanya mikutano kadhaa kwenye maeneo mbali mbali ya mikoa ya Pwani , Mtwara na Lindi .
Endelea kubaki hapahapa JF kwa Taarifa za uhakika
==========
Hata Mimi nashangaaJamani samahani naomba kuuliza: Hivi kwanini sura ya Tundu Lissu ni kama vile analia?
Shehe Ponda ndio anaenda kuifukia ccm huko kilwa masoko na kivinjeSheikh Ponda anamwaga Aya na Hadith ndani ya Mwambao Mkongwe wa Afrika ya Mashariki
NEC walishapiga marufuku hao mashehe uchwara kujihusisha na siasa.Sheikh Ponda anamwaga Aya na Hadith ndani ya Mwambao Mkongwe wa Afrika ya Mashariki
Wale uchwara wanaozunguka na mpiga magoti hamuwaoniNEC walishapiga marufuku hao mashehe uchwara kujihusisha na siasa.