Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara

CCM Must Go
Mkuu Brit
Wewe unajua Sana mambo ya ndani ya CCM,
Tuambieni je kuna happy gani huko ndani?
Wana matumaini au wamekata tamaa.
Je wakishirikiana wako Tayari kukabidhi kijiti kwa hiari?

Je wanaamini katika kushindwa?

Maswali yangu Ni hayo tu Mkuu.
 
Malori yanawaisha sana wana-ccm! Swala la wizi wa kura, litasababisha matatizo makubwa kwa nchi yetu, na hakuna Mtu mzima anapaswa kulishabikia!
 
Hata kama ushindi akipata ila jasho limemtoka.nadhani siasa zinanza kurudisha heshima yake.siyo simpo simpo tena.hakuna kura ya kirahisi.Hii ni Tanzania ya watanzania wenye mtazamo tofauti na ule uliozoeleka
Na huyo KOKA,ni kutetea biashara zake zaidi.vinginevyo akikosa tuu ubunge trust me TRA,wataenda kufanya ukaguzi wa mambo ya kodi pale AKO na kampuni zake zingine
 
Nafatilia tu mnyukano humu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baina ya pande mbili

Ova
 
Huyu kidume kweli kweli.... Mikutano 10 kwa siku sio mchezo haswa, lile gari la mkaa pale Lumumba haliwezi hata kidogo, lazima lipate break down kila baada ya mita 100..
 
Akapigilie nyundo suala la korosho na suala la masheikh naamini kura zote za kusini zitamininika kwa bwana mkubwa lissu...
Kamanda kaza spana suala la korosho. Mikoa hiyo unachukua 95 ya kura zote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…